MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 74
mimi ni moja wa washabiki wa man u,
leo nimeangalia mpira kwanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho
kiukeli kutoka moyoni kwangu leo tumebebwa
mchezaji wa city hakustahili kupewa kadi njekundu,
japokuwa walikuwa pungufu walituzidi kimpira leo ,halina ubishi hilo
leo nimeangalia mpira kwanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho
kiukeli kutoka moyoni kwangu leo tumebebwa
mchezaji wa city hakustahili kupewa kadi njekundu,
japokuwa walikuwa pungufu walituzidi kimpira leo ,halina ubishi hilo