Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Najiuliza kila siku hivi in reality kwa maisha ya bongo kazi gani ya wale wa information technology inalipa sana? Itapendeza zaidi kama mngetoa mfano wa mbongo yeyote ambaye amewin maisha kupitia hii kaz