Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Bado sijafikia kuamini kuwa kiu yetu ni kuona watuhumiwa wanajiuzuru tu bila hatua zaidi kuchukluliwa dhidi yao.Akina Johnson mwanyika,arthu mwakapugi,na wengine sioni kama ni haki kujiuruzu.Badala yake wangefukuzwa na kuchukuliwa hatua za kisheria zinazostahili......
mnaonaje wadau....mmeridhika?
mnaonaje wadau....mmeridhika?