BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
- Thread starter
- #81
Mkuu Obi BADILI TABIA ni shemeji yangu wa muda mrefu in fact ananipenda sana. Ndo ukimwona anajiachia hivi. sasa nimemwambia aje PM badalaya kutegemea google translate naona anapuuzia ila najua pa kumkamatia. Mi kule sijakaa ile cha ngymbaru kidogo tu
hhahhaaaaa hapa nafanya practise ya kukaza ulimi, si unajua kijerumani bila kukaza ulimi hakiendi......soon na mie nitaanza kukitema, chezeya BT weyeeee
Last edited by a moderator: