Kitendo cha watu kuingia makao makao makuu ya polisi na kutega bomu inasikitisha lakini kikubwa ni inatia mashaka juu ya uwezo wa jeshi la polisi na vyombo vya usalama kwa ujumla, hii inatutisha wananchi kama vyombo vya usalama vimeshindwa kujilinda je vitaweza kulinda wananchi na taifa kwa ujumla?
wapi tunaelekea?
wapi tunaelekea?