sina uhakika. Labda kuna ghorofa kwa kwenda chini.
Labda ni mlinzi wa kituo.
Uvivu wa?
In other words ni kua i wish nisingepata hio taarifa though nime i-appreciate...
Hasira nilizo nazo juu ya matendo ya mis management na serkali ni mengi
na makubwa; yet added another depressing information... Thus the uvivu...
Uvivu juu yao kwa analysis, comment, kutafakari na kuchukua hatua...
Inakera kwa kweli. Hata useme uchukue hatua sijui utaanzia wapi. CAG ameraise hii issue kwenye ripoti yake, but no body cares. We better go fishing.
In other words ni kua i wish nisingepata hio taarifa though nime i-appreciate...
Hasira nilizo nazo juu ya matendo ya mis management na serkali ni mengi
na makubwa; yet added another depressing information... Thus the uvivu...
Uvivu juu yao kwa analysis, comment, kutafakari na kuchukua hatua...
Naona umekasirika mpaka umeenda kinyume na signature yako. tuliza hasira kwanza otherwise hatutapata samaki hata mmoja.