Kituo cha mbezi kuzinduliwa leo na Dr.Maghufuli

greenstar

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
390
53
Habari njema kwa wakazi wa MBEZI mwisho,kile kituo tulichokingoja kwa hamu kuzinduliwa leo na Waziri wa Ujenzi ,Dr.magufuli........
 
Habari njema kwa wakazi wa MBEZI mwisho,kile kituo tulichokingoja kwa hamu kuzinduliwa leo na Waziri wa Ujenzi ,Dr.magufuli........

Kweli wataalam tunao. Kituo kimegharimu Shs 1.3 bilioni lakini vibanda vya abiria havisaidii jua wala mvua ni mapambo tu. Na ukiwa pale hutakiwi kuwa na haja ya namna yoyote
licha ya kusimama hadi usafiri uje maana hata kukaa chini huwezi. Hongereni ujenzi kwa kukamilisha Bus Stand ya kustand up ana no calls... Short or long a.k.a ni ya ku beep.
 
Back
Top Bottom