Kweli wataalam tunao. Kituo kimegharimu Shs 1.3 bilioni lakini vibanda vya abiria havisaidii jua wala mvua ni mapambo tu. Na ukiwa pale hutakiwi kuwa na haja ya namna yoyote
licha ya kusimama hadi usafiri uje maana hata kukaa chini huwezi. Hongereni ujenzi kwa kukamilisha Bus Stand ya kustand up ana no calls... Short or long a.k.a ni ya ku beep.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.