mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,843
- 8,232
Ndugu zanguni bado hali ya kuachia mambo yaende hovyo inazidi kushamiri hapa TZ kwa sasa kituo cha daladala pale Mwenge kimegeuka gulio kwani sasa daladala zinabanwa na hata abiria nao hukosa nafasi za kupita kwani gulio limeziba hata sehemu za kupandia abiria,kwa mpango huu si ajabu hata Ikulu kukageuzwa gulio