Baba Mkali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 810
- 808
WaTZ kweli wadini,nilijua hii mada imeletwa kwa minajili ya kujadili usalama na kuepusha majanga tunayoyalea kila siku lakini imeingia kuwa isue ya dini...bure kabisa wote mloleta udini hapa. Ndo maana kila siku tunazidi kuwa masikini.