mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
wadau
niliamu akuuchukua uashaur wenu wa dhati kbs kwa vitendo na leo nawasilisha nilipofikia na changamoto nilizokutana nazo..
nilianza mchakato kwa kwenda Ruaha Mbuyuni mwaka jana october.Sikua na niliemfahamu kule.Nilifanikiwa kufanya mazungumzo na watu kama watatu niliokutana nao pale na bahat mmojawapo alikua tayar kuambatana na mimi kucheki mashamba.Nikalipia heka moja laki 3 ya msimu utakaoanza January yamwaka huu...Kulipia mapema ni muhimu.
Nilianza mchakato mwingine wa mbegu.Nikanunua mbegu.Ikahifadhiwa.Ikaoteshwa january.
Mbegu ilihitaji uangaliz wa karibu ikiwemo kunyeshea na kung'olea..bahat mbaya niliyemweka hakuwa siriaz.Mbegu ikajaa majani.haikufaa tena....nikapoteza laki 4
nikaumiza kichwa nikatafuta mbegu za haraka ambazo zimeishakuota.Nikapata.Nikalima.Nikaandaa majaluba.Nikaotesha.
KIjana niliyemweka hakua siriaz sana.akanitia majangani.
Sasa kitunguu kinaendelea vema na ninatarajia kukivuna mwezi ujao mapema sana............
wadau mliopo hapa nipeni bei za sokoni nimefanya research Buguruni gunia ni kama 120,000...au kama tunaweza fanya biashara niPM..mzigo upo shambani pale ruaha mjini kbs pembeni y amto
natarajia magunia kati ya 30 na 40......kwa hekari,kadirio la chini
niliamu akuuchukua uashaur wenu wa dhati kbs kwa vitendo na leo nawasilisha nilipofikia na changamoto nilizokutana nazo..
nilianza mchakato kwa kwenda Ruaha Mbuyuni mwaka jana october.Sikua na niliemfahamu kule.Nilifanikiwa kufanya mazungumzo na watu kama watatu niliokutana nao pale na bahat mmojawapo alikua tayar kuambatana na mimi kucheki mashamba.Nikalipia heka moja laki 3 ya msimu utakaoanza January yamwaka huu...Kulipia mapema ni muhimu.
Nilianza mchakato mwingine wa mbegu.Nikanunua mbegu.Ikahifadhiwa.Ikaoteshwa january.
Mbegu ilihitaji uangaliz wa karibu ikiwemo kunyeshea na kung'olea..bahat mbaya niliyemweka hakuwa siriaz.Mbegu ikajaa majani.haikufaa tena....nikapoteza laki 4
nikaumiza kichwa nikatafuta mbegu za haraka ambazo zimeishakuota.Nikapata.Nikalima.Nikaandaa majaluba.Nikaotesha.
KIjana niliyemweka hakua siriaz sana.akanitia majangani.
Sasa kitunguu kinaendelea vema na ninatarajia kukivuna mwezi ujao mapema sana............
wadau mliopo hapa nipeni bei za sokoni nimefanya research Buguruni gunia ni kama 120,000...au kama tunaweza fanya biashara niPM..mzigo upo shambani pale ruaha mjini kbs pembeni y amto
natarajia magunia kati ya 30 na 40......kwa hekari,kadirio la chini