Mkuu umenena vyema watu hapa tunataka kuaminishwa kuwa Mama Blandinda Nyoni ni fisadi lakini Lucy Nkya au Shamsha ni wazalendo watanzania safi. Hii siyo kweli bali ni mchezo mchafu unaoitwa "character assassination" Jamii including JF inalazimishwa iamini kuwa huyu mtu ni mbaya. Lucy Nkya si atakuwa ni kaskazini? na hapa mtu amesema Blandina Nyoni ni Kusini? Hawa jamaa wa Kaskazini ni wagumu sana kufanya nao kazi kutokana na uzoefu wangu wanapendeleana, wanamajivuno, wanataka kuwa kwenye post za juu kila walipo na wanadharau watu wengine na ndo vinara wa corruption, wizi na uhujumu uchumi. Ni wanafiki in public wanasema usawa na haki lakini underground ni makamanda wa corruption, nepotism and injusticeHii thread inaonesha wazi wazi kwanini Blandina Nyoni anapikiwa majungu! Huyu mama anaonekana ni muadilifu na anafuata kanuni za kazi zilizowekwa, kwani hapa tunaambiwa naibu waziri anahamishiwa kwenye wizara mpya na hapo anapangiwa dereva wa kumuendesha aliye kuwa anamuendesha mtangulizi wake lakini yeye anataka aletewe nduguye aliyekuwa anamuendesha wizara aliyotoka!! Taratibu za kazi haziruhusu watumishi kuhama hama na madereva /masecretary wao na wale wanaofanya hivyo ,hufanya hivyo ili kuficha uovu wao. Sasa kwa kuzuia maovu Blandina Nyoni kakosea nini? Halafu uongo na uzushi mwingine, mtasemaje kampuni ya Mariedo ni ya BlandinaNnyoni wakati Mariedo mwenyewe yupo na ndie anayeiendesha hiyo kampuni; haya ni majungu yasiyo mbele wala nyuma!! Mtu mwenye akili timamu hawezi kuamini upuuzi huu.