Kituko masaki: Familia nyingine bana (hakikisheni kuna maji na TP)

Du kaka hii noma sana! Hizi nguo zinaficha mengi sana. Off course mi kwangu choo ni kitu cha kwanza kuliko vyote. Watu ukiwakuta njiani wameulamba utakimbia bwana lkn kaangalie anapoishi penyewe! Njoo ovyo wengine hata usafi ndani wameshasahau lkn yeye ukimwona nje magold, nk.

Maji hamna. Ccm oyeeeeeee......
 
aisee mie ugenini long call hakuna kabisa, naweza kaa hata siku mbili, labda short call tuu
 
Jamani kama alivyosema King'asti ukiingia chooni tena kwa haja kubwa angalia kwanza kama vitendea kazi vimekamilika kabla hujaharibu nawe kuaibika.
 
Pole purity1 Jamani pamoja na mawazo yote mazuri nahisi ndg yetu alikuwa anaumwa tumbo aka kuhar.....,hivi ukiwa kwenye hali hy kuna ujanja wa kuna na kujitayarisha? Na kama bahati mbaya limekupata ukiwa njiani na ndio umekaribia kwenye hy sehemu?Lakini nimekusifu aulivyoweza kuitumia simu kwa haraka-maana hata watengenezaji hawajui huku kwetu simu zina matumizi mengi,ungeweza kuingia kwenye guiness book of records.
 
Duh Faiza umenigusa sana kwa hii comment yako safi sana hata kwenye kujivua gamba kuwa mkali basi si kutetea tuu mradi ni deep green at stake
Siku ingine ukienda kuwatembelea hakikisha unavaa "adult diapers". Unaachia mavituz hapo hapo mnapoongea, nani anajuwa? siri yako!
 
Hapo sijui umetoka kwenu Temeke , halafu unataka ujaribu choo cha kukaa kwa mara ya kwanza, huna aibu si unge malizla mambo yakohuko huko uswahilini kwenu kuliko kujaribisha vyoo vya "Kidhungu" uswahili tuu umekujaa huna lolote!
 
jamani hiki ni kituko cha kweli,jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi masaki. tukafika tukawakuta na kuwapa pole. wakati tupo hapo nikajisikia nataka kwenda long call (haja kubwa) nikaelekezwa wash room ilipo. Basi mimi niikaenda nikafanya mambo yangu. kumaliza nikataka kujifuta, salaleee mtume hakuna, toilet paper (TP), nikasema ngoja nitumie maji.. toba!! mungu wangu maji hakuna.. na huwezi amini na maji ya ku-flash hakuna!! nikasema ama kweli leo nimepatikana.. bahati nzuri nilikuwa nina simu yangu mfukoni, ikabidi nimpigie MWENZI wangu aje aokoe jahazi. ikabidi afanye mpangilio niweze kupata maji na toilet paper.my take:
  1. jamani katika familia tujitahidi kuhakikisha kuna maji na toilet paper (haina maana kuwa na nyumba yenye swimming pool halafu chooni hali ni tete)
  2. tembea na toilet paper kwenye mfuko!!
  3. simu yaweza kukuokoa katika maeneo tatatishi
Pia tukumbuke kuwachukua wenzi wetu ili tupate wa kuwapigia simu tunapokosa maji na TP!!
 
Hapo sijui umetoka kwenu Temeke , halafu unataka ujaribu choo cha kukaa kwa mara ya kwanza, huna aibu si unge malizla mambo yakohuko huko uswahilini kwenu kuliko kujaribisha vyoo vya "Kidhungu" uswahili tuu umekujaa huna lolote!
Vyoo vya kizungu bila maji, wewe kweli mtoto wa kishuam.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom