Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila we pumbu,mmbeya....duhNimependa hii FF
Siku ingine ukienda kuwatembelea hakikisha unavaa "adult diapers". Unaachia mavituz hapo hapo mnapoongea, nani anajuwa? siri yako!
Pia tukumbuke kuwachukua wenzi wetu ili tupate wa kuwapigia simu tunapokosa maji na TP!!jamani hiki ni kituko cha kweli,jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi masaki. tukafika tukawakuta na kuwapa pole. wakati tupo hapo nikajisikia nataka kwenda long call (haja kubwa) nikaelekezwa wash room ilipo. Basi mimi niikaenda nikafanya mambo yangu. kumaliza nikataka kujifuta, salaleee mtume hakuna, toilet paper (TP), nikasema ngoja nitumie maji.. toba!! mungu wangu maji hakuna.. na huwezi amini na maji ya ku-flash hakuna!! nikasema ama kweli leo nimepatikana.. bahati nzuri nilikuwa nina simu yangu mfukoni, ikabidi nimpigie MWENZI wangu aje aokoe jahazi. ikabidi afanye mpangilio niweze kupata maji na toilet paper.my take:
- jamani katika familia tujitahidi kuhakikisha kuna maji na toilet paper (haina maana kuwa na nyumba yenye swimming pool halafu chooni hali ni tete)
- tembea na toilet paper kwenye mfuko!!
- simu yaweza kukuokoa katika maeneo tatatishi
Vyoo vya kizungu bila maji, wewe kweli mtoto wa kishuam.Hapo sijui umetoka kwenu Temeke , halafu unataka ujaribu choo cha kukaa kwa mara ya kwanza, huna aibu si unge malizla mambo yakohuko huko uswahilini kwenu kuliko kujaribisha vyoo vya "Kidhungu" uswahili tuu umekujaa huna lolote!