jamani hiki ni kituko cha kweli,
jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi masaki. tukafika tukawakuta na kuwapa pole. wakati tupo hapo nikajisikia nataka kwenda long call (haja kubwa) nikaelekezwa wash room ilipo. Basi mimi niikaenda nikafanya mambo yangu. kumaliza nikataka kujifuta, salaleee mtume hakuna, toilet paper (TP), nikasema ngoja nitumie maji.. toba!! mungu wangu maji hakuna.. na huwezi amini na maji ya ku-flash hakuna!! nikasema ama kweli leo nimepatikana.. bahati nzuri nilikuwa nina simu yangu mfukoni, ikabidi nimpigie MWENZI wangu aje aokoe jahazi. ikabidi afanye mpangilio niweze kupata maji na toilet paper.
my take:
jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi masaki. tukafika tukawakuta na kuwapa pole. wakati tupo hapo nikajisikia nataka kwenda long call (haja kubwa) nikaelekezwa wash room ilipo. Basi mimi niikaenda nikafanya mambo yangu. kumaliza nikataka kujifuta, salaleee mtume hakuna, toilet paper (TP), nikasema ngoja nitumie maji.. toba!! mungu wangu maji hakuna.. na huwezi amini na maji ya ku-flash hakuna!! nikasema ama kweli leo nimepatikana.. bahati nzuri nilikuwa nina simu yangu mfukoni, ikabidi nimpigie MWENZI wangu aje aokoe jahazi. ikabidi afanye mpangilio niweze kupata maji na toilet paper.
my take:
- jamani katika familia tujitahidi kuhakikisha kuna maji na toilet paper (haina maana kuwa na nyumba yenye swimming pool halafu chooni hali ni tete)
- tembea na toilet paper kwenye mfuko!!
- simu yaweza kukuokoa katika maeneo tatatishi