Kituko kuhusu teja

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
inavyoonyesha haupiti mara kwa mara hapa. Hii ya kitambo kweli.
<br />
<br />

Zote kali, kama wewe ulishaona wengine ndo tunaona leo, No Hard Feelings.
 
Bibi kizee moja alijulikana bingwa wa kupinga mtaani,yaani kama unabisha mnawekeana dau,siku moja alienda benki alipofika reception akasema nataka niweke hela kwenye account yangu,pale reception akaambiwa lete hela yako tukuwekee,bibi alikataa na kudai manager mkuu wa benki ndo anafaa kumwekea na bila hivo hataweka hela yake a/c.Reception walipoona hivo wakampeleka bibi kwa manager ili amwekee hela,alipofika manager alishangaa sana,akamwambia we bibi hii milioni 10 umetoa wapi mbona jinsi unavyoonekana mtu kama wewe hana uwezo kuwa na hela kama hiyo?Bibi akajibu,nilipinga na mtu na kuwekeana dau ya kila mmoja kuweka milioni 5,kwahiyo nikashinda ndo nikapata milioni 10.Manager akamwuliza,kwani kupinga ni kazi sana?Bibi akajibu,usijali,tunaweza tukapinga mi na wewe ila tuwekeane dau ya miloni 10 kila mtu,ukishinda nakupa milioni 10 na mimi nikishinda unanipa milioni 10,Manager alishawishika na kumwambia bibi aseme watakuwa wanapinga nini?Bibi akamwambia ''kesho mda kama huu saa kumi jioni hutaziona sehemu zako za siri''Manager alibisha kweli na kusema haya tutaona na hiyo milioni 10 yako lazima nichukue mana lazima nitakuwa na nyeti zangu''wakaagana,kesho yake bibi akamjia manager ofisini mda ule ule akiwa na mtu mwingine.Manager akawakaribisha ofisini kwake vizuri,akaenda chooni ili aangalie sehemu zake za siri kama zipo,alipofika chooni akawa anafurahi sana kuziona sehemu zake bado zipo,akarudi ofisi kwa furaha na kumwambia bibi,haya nipe milioni zangu 10 mana nina nyeti zangu bado,Bibi akamwambia mpaka nihakikishe na kuzishikashika kwa mkono ili nijue kama ipo,manager ikabidi afungue zipu lake na bibi akaanza kuzipapasa kwa mkono wake,wakati bibi anapapasa nyeti za manager yule mtu aliyekuja naye akaanza kujipigiza ukutani kwa nguvu,Manager akamwuliza bibi,kwanini huyu mtu uliyekuja naye anajipigiza hivo???Bibi akajibu ''We tulia nikupapase,huyu mtu ameshaliwa hela ndo mana anajipigiza kwa presha,nilimwambia nina uwezo wa kuzipapasa nyeti za manager wa benki kuu ila akabisha ikabidi tuwekeane dau ya miloni 40 kila mtu,kwa hiyo ameshaliwa.,cha msingi ye anipe milioni zangu ili we uchukue milioni zako 10 kutoka kwangu.
<br />
<br />
ha ha ha, umetisha arifu, hii ni noma
 
hahaha! Nimecheka kuzkumbuka jokes hz hehe gud job translatin them though! Nlkuwaga na kitabu na zlkuwa na hz jokes umenikumbusha hehehe! Am talkn abt joke 2 n 3
 
Kahaba moja aliandaa tuzo,kijana yeyote wa kiume atakayefanya naye tendo la ndoa na kufikisha goli nane anampa tuzo,Wakajitokeza vijana wanne,wa kwanza akaanza kazi, alipofika goli la 3 akawa hoi,wa tatu akaingia,alipofika goli la nne akawa hajielewi kabisa,akaja kijana wa tatu,akaahangaika alipofikisha goli tano hali mbaya,akaja kijana wa nne na wa mwisho,akahangaika sana ila alipofikisha goli la 6 akawa yuko hoi na amechoka,............mara akatokea mzee moja aliyezeeka na bakora lake anakatiza njiani,wakamwambia kama kejeli,mzee kuna tuzo kama utafikisha goli nane basi utakuwa umetajirika,Mzee alicheka halafu akawaambia wampe chance,mzee akamfuata demu,akaanza kucheza mchezo mpaka akafikisha goli 11,mzee akawa amewafunika vijana,akapewa sabuni aende kuoga ili apewe tuzo,watu wakashangaa mzee anachelewa,wakamfuata bafuni wakashangaa kumkuta anapiga nyeto,akaulizwa tatizo nini?mzee akajibu hajaridhika kabisa.
 
Kahaba moja aliandaa tuzo,kijana yeyote wa kiume atakayefanya naye tendo la ndoa na kufikisha goli nane anampa tuzo,Wakajitokeza vijana wanne,wa kwanza akaanza kazi, alipofika goli la 3 akawa hoi,wa tatu akaingia,alipofika goli la nne akawa hajielewi kabisa,akaja kijana wa tatu,akaahangaika alipofikisha goli tano hali mbaya,akaja kijana wa nne na wa mwisho,akahangaika sana ila alipofikisha goli la 6 akawa yuko hoi na amechoka,............mara akatokea mzee moja aliyezeeka na bakora lake anakatiza njiani,wakamwambia kama kejeli,mzee kuna tuzo kama utafikisha goli nane basi utakuwa umetajirika,Mzee alicheka halafu akawaambia wampe chance,mzee akamfuata demu,akaanza kucheza mchezo mpaka akafikisha goli 11,mzee akawa amewafunika vijana,akapewa sabuni aende kuoga ili apewe tuzo,watu wakashangaa mzee anachelewa,wakamfuata bafuni wakashangaa kumkuta anapiga nyeto,akaulizwa tatizo nini?mzee akajibu hajaridhika kabisa.
Ahahahaaah!! Hii imefunika zote ulizotoa leo!
 
Mshikaji moja aliyejazia misuli kwa kupiga chuma na kuogopewa mtaani,alivunja sheria ya nchi na kupelekwa jela,ile mara ya kwanza alipofika jela akawakuta wafungwa wenzake,akaanza kuwatishia na kuwaambia,'''nasikia huku mna mchezo mchafu wa kuwachezea wanaume wenzenu kinyume na maumbile,sasa mtu alete ujinga kwangu aonje mauti''kwa hasira akapiga ngumi ukutani,akapiga tena ukuta kwa kichwa na kuzimia hapo hapo,ile anazinduka anakuta ameloanishwa nyuma.
 
ebwana hii ya bibi imetulia..tupa kingine mwanangu excellent tupate raha.
 
hii ya bibi ni mzuka niaje sema mkuu unaziunga juu kwaju kama vp kila moja ungeweka peke yake hivi inakua inajichanganya na comments so inakua ka daftari flan hivi la rafu...
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom