Jux
Senior Member
- Aug 5, 2011
- 114
- 57
Hahahaha hii ya kweli ya kichama kama sio ya kitaalumaHahahha na zile za .......Natambua uwepo wa Baba mzazi wa Bibi arusi,..Prof. Tilalila bin Mitungi. Yeye ni Profesa na PhD yake aliiichukulia kule Marekani
Natambua uwepo wa Mama mzaa chema, Dr. Kiroba bint Nyagi, yeye aliishi Bradford kwa miaka saba,
Nisisahau uwepo wa Baba Mdogo wa Bibi Arusu, Dr. Ambari wa Achari, ni Dr. kwa Mwananyamala, yeye aliishi sana Ujerumani
Natambua uwepo wa Pro. Naniliu, yeye pia ni Mbunge wa Jombo la Naniliu
Bila kusahau Uwepo wa Mr. Kaka wa Braza, yeye ni jirani yake Profesa
Eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!