Kituko harusini

Hahahha na zile za .......Natambua uwepo wa Baba mzazi wa Bibi arusi,..Prof. Tilalila bin Mitungi. Yeye ni Profesa na PhD yake aliiichukulia kule Marekani
Natambua uwepo wa Mama mzaa chema, Dr. Kiroba bint Nyagi, yeye aliishi Bradford kwa miaka saba,
Nisisahau uwepo wa Baba Mdogo wa Bibi Arusu, Dr. Ambari wa Achari, ni Dr. kwa Mwananyamala, yeye aliishi sana Ujerumani
Natambua uwepo wa Pro. Naniliu, yeye pia ni Mbunge wa Jombo la Naniliu
Bila kusahau Uwepo wa Mr. Kaka wa Braza, yeye ni jirani yake Profesa

Eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!
Hahahaha hii ya kweli ya kichama kama sio ya kitaaluma
 
Halafu hapo inawezekana ndugu ndo wamepanga hivyo
labda wanamkubali zaidi huyo jamaa kuliko bwaba harusi
ndugu wengine bana
 
hahahha na zile za .......natambua uwepo wa baba mzazi wa bibi arusi,..prof. Tilalila bin mitungi. Yeye ni profesa na phd yake aliiichukulia kule marekani
natambua uwepo wa mama mzaa chema, dr. Kiroba bint nyagi, yeye aliishi bradford kwa miaka saba,
nisisahau uwepo wa baba mdogo wa bibi arusu, dr. Ambari wa achari, ni dr. Kwa mwananyamala, yeye aliishi sana ujerumani
natambua uwepo wa pro. Naniliu, yeye pia ni mbunge wa jombo la naniliu
bila kusahau uwepo wa mr. Kaka wa braza, yeye ni jirani yake profesa

eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!


sasa afadhali hiyo kama
hao watu ni ndugu kweli
harusi zingine wanatajwa watu kisa tu ni
kabila la bwanaharusi na hao watu ni vizito town
yaani watu wanajikweza kwa kupitia watu wengine
its funny
 
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '&quot; napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa&quot; mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja. <br />
<br />
Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??
<br />
<br />
Hiyo ni ndoa ya wanaume wawili kudadadeki.
 
Mie ndio maana harusi nazoandaa zinakuwa kama tamasha, hakuna cha utambulisho wala nini, kwanza unatambulisha ili iweje? tambua baba na mama wanatosha, nasaha pia zinaboa tu

Slanted r u a wedding planner? Ni pm tafadhali
 
Bwana Harusi amefanya ustarabu sana kuka kimnya mbele za watu huyo mwanamke kama hajafunzwa kwao ulimwengu utamfunza,
Asubiri yeye kuletewa nyumbani X wa mumewe na chakula alichopika yeye mwenzie akala halafu aone kama alomfanyia mwenzie matamu.
 
Hahahha na zile za .......Natambua uwepo wa Baba mzazi wa Bibi arusi,..Prof. Tilalila bin Mitungi. Yeye ni Profesa na PhD yake aliiichukulia kule Marekani
Natambua uwepo wa Mama mzaa chema, Dr. Kiroba bint Nyagi, yeye aliishi Bradford kwa miaka saba,
Nisisahau uwepo wa Baba Mdogo wa Bibi Arusu, Dr. Ambari wa Achari, ni Dr. kwa Mwananyamala, yeye aliishi sana Ujerumani
Natambua uwepo wa Pro. Naniliu, yeye pia ni Mbunge wa Jombo la Naniliu
Bila kusahau Uwepo wa Mr. Kaka wa Braza, yeye ni jirani yake Profesa

Eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!


Ha ha hahah,duh na wewe una vituko loh!

Ni kweli wabongo kwenye maharusi ni mbwembwe tupu....
 
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '" napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa" mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja.

Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??
mimi ndio maana huwa nahamisha meza watu

kula nile mie, dibaji apewe yeye....

Mambaff
 
huyo mdada alishazaa nae zamani nadhani ndio maana bwana harusi hakumind sana
<br />
<br />

Hata kama alishazaa naye sio fair bana kwa huyu mume mtarajiwa....ingekuwa ni mimi mbona ningenyanyuka na kuondoka isiwe tabu aendelee na huyo huyo aliyemzalisha nyambaff.....kwani mara ngapi xboyfriends wanaenda kwenye parties za wenza wao wa zamani lakini kwani wanatambulishwa??
 
Hahahha na zile za .......Natambua uwepo wa Baba mzazi wa Bibi arusi,..Prof. Tilalila bin Mitungi. Yeye ni Profesa na PhD yake aliiichukulia kule Marekani
Natambua uwepo wa Mama mzaa chema, Dr. Kiroba bint Nyagi, yeye aliishi Bradford kwa miaka saba,
Nisisahau uwepo wa Baba Mdogo wa Bibi Arusu, Dr. Ambari wa Achari, ni Dr. kwa Mwananyamala, yeye aliishi sana Ujerumani
Natambua uwepo wa Pro. Naniliu, yeye pia ni Mbunge wa Jombo la Naniliu
Bila kusahau Uwepo wa Mr. Kaka wa Braza, yeye ni jirani yake Profesa

Eh utadhani tuko kwenye mkutano wa kichama, kumbe arusi!!

halafu weye..............

yale mahindi yameota mbelewele aisee, nauza yote kwa bakhresa
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Hata kama alishazaa naye sio fair bana kwa huyu mume mtarajiwa....ingekuwa ni mimi mbona ningenyanyuka na kuondoka isiwe tabu aendelee na huyo huyo aliyemzalisha nyambaff.....kwani mara ngapi xboyfriends wanaenda kwenye parties za wenza wao wa zamani lakini kwani wanatambulishwa??
<br />
<br />
mkuu punguza hasira!
 
huo ni upuuzi,kuna watu thinking capacity yao wamebakisha ya kuvukia barabara tu...utafanyaje kitu kama hicho on your big day?
 
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '" napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa" mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja.

Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??
anaemua huyo binti ajue kapendwa kwa sababu na siku si nyingi ha ma x watarudiana.:disapointed:
 
last wk nlihudhuria send off moja maeneo ya Tabata jijini dsm, wakati bibi harusi anatambulisha ndugu zake mwisho akamtambulisha X-boyfriend wake nanukuu '&quot; napenda kumtambulisha mwanaume wangu wa kwanza kabisa&quot; mwisho wa kunukuu, mwanaume akasimama watu wakaguna ukumbini, ila nilipofuatilia ni kakuta huyo X-BF amazaa nae mtoto mmoja. <br />
<br />
Je ni sawa kumtambulisha harusini/send off mpenzi wako wa zamani hata kama umezaa nae??
<br />
<br />

Baada ya hapo huyo mwanamke alitakiwa akahifadhiwe milembe.
 
Back
Top Bottom