Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Huyo jamaa hapo nyuma ya mkuu wa kaya mwenye kaunda suti ya kahawia/brown ni nani? Maana mdau huyo kila trip ya mkuu wa kaya namuona yupo mitaa hiyo hachezi mbali au ndo wale wale UWT??
Jk, kwa upande wa hilo koti la jeans kachemshaHapa vipi? mtambo ulikua down, tanesco wamekata umeme? Naona wataalam wanakuna maskio.
Jk, kwa upande wa hilo koti la jeans kachemsha
Duh! Suti ya Jeans!
Its called "casual jeans suit", highly fashionable especially when out doors and not too formal.
The president of a nation, on official visits, is supposed to be formal.
Kama humjui JK ukiambiwa onyesha nani rais na nani injinia hapa unaweza kusema huyo jamaa pembeni ndiye rais na JK kiinjinia kicheck bobu.
Kiranga naomba kutofautina na wewe
Haya mambo ya foramlities za mavazi nani anaweka standard. ? Ukiwauliza wabunge au bunge kwa Nini suti ni vazi rasmi wakati Tanzania ni nchi ya Joto............... binafsi sioni logic zaidi ya copy and paste bila kufikiria .
Hata kama copy and paste kama una picha au kumbuumbu za Alipokuja Rais G W Bush basi tazama matuio yake naz iara zake. Utaona hata hao tunaowaiga wanaweza kuwa kwenye official formal visit na bado wakavaa "casual".....
Rais anakwenda kwenye official visit mkoani kwenye kampeni ya kupanda miti yuko na misuti... .Ndio mwanzo wa kuwekewa mikeka............
Akitoka hapo alikuwa na ki-date cha kumtoa Salma at the movies...maana hata si dinner!
Ushaambiwa "kitu kilikata networ" umeme hamna, movie ya kuendeshwa kwa mkono na betri la gari nini?
Movie ya projector beach kwa betri ya gari. Aaawww how romantic!
Hahaha,
Tunarudi kule kule, kumpa kura Kikwete kwa sababu "handsome". Hahahahaha.
Mshua ana capitalize kwenye fluff , strong point yake!