Laptop01 JF-Expert Member Nov 29, 2009 1,365 796 Jan 12, 2011 #41 Siku serikali itakapokiri kwamba kuwalipa dowans ni kubaka uchumi wa taifa.
N Ndevu mbili JF-Expert Member Jan 11, 2011 379 40 Jan 12, 2011 #42 Ma EPA warejeshe pesa walizochota.
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Jan 12, 2011 #43 Siku watanzania tukiacha kunyanyasika kwenye nchi yetu:love:
N Ndevu mbili JF-Expert Member Jan 11, 2011 379 40 Jan 13, 2011 #44 Maria Roza said: Siku watanzania **tukiacha** kunyanyasika kwenye nchi yetu:love: Click to expand... Kwani tunayataka wenyewe?
Maria Roza said: Siku watanzania **tukiacha** kunyanyasika kwenye nchi yetu:love: Click to expand... Kwani tunayataka wenyewe?