Kama hataki/hajisikii/hawezi kuongea na wewe je?kupokea ni swala lingine,
kinachoniboa ni kumpigia mtu simu then hapokei,then inapita siku nzima bila kuonyesha response yoyote ile as if hajaona hata missed call-kweli hii tabia inaniboa saaaaana
inakera sana tena sana dada mmoja kanifanyia huo mchezo jana amebiiiiiiiiiiip mpaka kerooooooMtu anabeep, halafu ukimpigia anakwambia nilitaka kukusalimia tu, au anakuambia eti ana shida! sasa shida yake halafu wewe umpigie simu!!