Juliet Mori
New Member
- Apr 5, 2012
- 1
- 0
Jamaaani!
Not So GOOD. Unafikiri wanaosoma UDOM wanajisikiaje ... think big before you speak or write somrthing
Not So GOOD. Unafikiri wanaosoma UDOM wanajisikiaje ... think big before you speak or write somrthing
labda kwa sababu hili ni jukwaa la utaniWatajskia sawa 2 kwan unafkr hawajui kwamba UDOM ni sawa na shule ya kata. Hadi ma lecturer wnywe wanaponda utaratbu wa course zlivyomegwa megwa. Kwa mfano utakuta UDSM kuna course inaitwa Political science and public administration. Ambapo ndan yake kuna Vpengle vngi km democracy and election n.k. Ila ukienda UDOM course kma hyo inakua imemegwa na kufundshwa ka kipngle km couse ambayo m2 ana graduu nayo.
Watajskia sawa 2 kwan unafkr hawajui kwamba UDOM ni sawa na shule ya kata. Hadi ma lecturer wnywe wanaponda utaratbu wa course zlivyomegwa megwa. Kwa mfano utakuta UDSM kuna course inaitwa Political science and public administration. Ambapo ndan yake kuna Vpengle vngi km democracy and election n.k. Ila ukienda UDOM course kma hyo inakua imemegwa na kufundshwa ka kipngle km couse ambayo m2 ana graduu nayo.
ni kwamba mama anajua tanzania kuna chuo kikuu kimoja tu so hicho cha udom anadhani siyo chuo kikuu.
Watajskia sawa 2 kwan unafkr hawajui kwamba UDOM ni sawa na shule ya kata. Hadi ma lecturer wnywe wanaponda utaratbu wa course zlivyomegwa megwa. Kwa mfano utakuta UDSM kuna course inaitwa Political science and public administration. Ambapo ndan yake kuna Vpengle vngi km democracy and election n.k. Ila ukienda UDOM course kma hyo inakua imemegwa na kufundshwa ka kipngle km couse ambayo m2 ana graduu nayo.
BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
First class university hata marekan, ulaya vipo na vineheshimika hata graduate wake wanapewa priority, mfano Havard, MIT etc. So kwa Tz is Udsm.
We itakuwa tulisoma wote japokuwa sikusoma hata kozi moja iliyofundishwa na Dr Benson Bana!!!! Udom hata DS ni degree....kwa sasa hivi na Udsm wameshaanza kutoa bachelor ya Development Studies?