Kitu cha Malawi chamtoa nishai njemba, Arusha.

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
647
350
Kituko cha Arusha hiki hapa. Mtaalamu wa kuvuta boby marley, jana alizimika kama wale wanao zima Bar baada ya kukata kilaji cha nguvu.

Jamaa kazimika kwa kitu cha Malawi. Nilimsikiaa jamaa akisema, huyu ndugu alifikiri kitu cha Arusha kama Malawi. Ikanibidi nidadisi tofauti ya kitu cha Arusha na Malawi.

Jamaa moja akaniambia, kitu cha Malawi kwanza kinapitia kiwandani. Nikasema Eboo! Nilikuwa sifahamu. Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.

Baada ya hapo, ukali wake huwa mara 7 ya hii kitu ya Arusha. Jamaa baada ya kupiga kipisi cha kwanza, akapiga cha pili ile anamaliza tu, akanza kupiga kelele. Alikuwa anaona mawingu yapo chini ardhi juu. Punde mshikaji akazima kimyaa. Kama umuonavyo sasa hivi baada ya saa mbili kupita atleast anaanza kurikavaa.



Wana JF, leo bado nipo Arusha. Kesho nitaelekea Kondoa kwa ndugu zangu warangi. Siku njema
 
Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.

Sasa huyo mbuzi si nae atakuwa chizi?
mbuzi anakula jani aka ganja!!:crying:
 
Hiyo ni mauzushi tu.cha namibia&malawi still ni mtoto wa kule kwa kah;ya ya chuga man.
 
Kituko cha Arusha hiki hapa. Mtaalamu wa kuvuta boby marley, jana alizimika kama wale wanao zima Bar baada ya kukata kilaji cha nguvu.

Jamaa kazimika kwa kitu cha Malawi. Nilimsikiaa jamaa akisema, huyu ndugu alifikiri kitu cha Arusha kama Malawi. Ikanibidi nidadisi tofauti ya kitu cha Arusha na Malawi.

Jamaa moja akaniambia, kitu cha Malawi kwanza kinapitia kiwandani. Nikasema Eboo! Nilikuwa sifahamu. Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.

Baada ya hapo, ukali wake huwa mara 7 ya hii kitu ya Arusha. Jamaa baada ya kupiga kipisi cha kwanza, akapiga cha pili ile anamaliza tu, akanza kupiga kelele. Alikuwa anaona mawingu yapo chini ardhi juu. Punde mshikaji akazima kimyaa. Kama umuonavyo sasa hivi baada ya saa mbili kupita atleast anaanza kurikavaa.



Wana JF, leo bado nipo Arusha. Kesho nitaelekea Kondoa kwa ndugu zangu warangi. Siku njema

mkuu tuwasiliane basi ukipita hapa babati.....kitu cha malawi kipo
 
Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.

Sasa huyo mbuzi si nae atakuwa chizi?
mbuzi anakula jani aka ganja!!:crying:

makofia pls unaniumiza mbavu bana
 
Kituko cha Arusha hiki hapa. Mtaalamu wa kuvuta boby marley, jana alizimika kama wale wanao zima Bar baada ya kukata kilaji cha nguvu.

Jamaa kazimika kwa kitu cha Malawi. Nilimsikiaa jamaa akisema, huyu ndugu alifikiri kitu cha Arusha kama Malawi. Ikanibidi nidadisi tofauti ya kitu cha Arusha na Malawi.

Jamaa moja akaniambia, kitu cha Malawi kwanza kinapitia kiwandani. Nikasema Eboo! Nilikuwa sifahamu. Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.

Baada ya hapo, ukali wake huwa mara 7 ya hii kitu ya Arusha. Jamaa baada ya kupiga kipisi cha kwanza, akapiga cha pili ile anamaliza tu, akanza kupiga kelele. Alikuwa anaona mawingu yapo chini ardhi juu. Punde mshikaji akazima kimyaa. Kama umuonavyo sasa hivi baada ya saa mbili kupita atleast anaanza kurikavaa.



Wana JF, leo bado nipo Arusha. Kesho nitaelekea Kondoa kwa ndugu zangu warangi. Siku njema

Dah!! Hii kali mkuu...
 
Back
Top Bottom