Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Kituko cha Arusha hiki hapa. Mtaalamu wa kuvuta boby marley, jana alizimika kama wale wanao zima Bar baada ya kukata kilaji cha nguvu.
Jamaa kazimika kwa kitu cha Malawi. Nilimsikiaa jamaa akisema, huyu ndugu alifikiri kitu cha Arusha kama Malawi. Ikanibidi nidadisi tofauti ya kitu cha Arusha na Malawi.
Jamaa moja akaniambia, kitu cha Malawi kwanza kinapitia kiwandani. Nikasema Eboo! Nilikuwa sifahamu. Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.
Baada ya hapo, ukali wake huwa mara 7 ya hii kitu ya Arusha. Jamaa baada ya kupiga kipisi cha kwanza, akapiga cha pili ile anamaliza tu, akanza kupiga kelele. Alikuwa anaona mawingu yapo chini ardhi juu. Punde mshikaji akazima kimyaa. Kama umuonavyo sasa hivi baada ya saa mbili kupita atleast anaanza kurikavaa.
Wana JF, leo bado nipo Arusha. Kesho nitaelekea Kondoa kwa ndugu zangu warangi. Siku njema
Jamaa kazimika kwa kitu cha Malawi. Nilimsikiaa jamaa akisema, huyu ndugu alifikiri kitu cha Arusha kama Malawi. Ikanibidi nidadisi tofauti ya kitu cha Arusha na Malawi.
Jamaa moja akaniambia, kitu cha Malawi kwanza kinapitia kiwandani. Nikasema Eboo! Nilikuwa sifahamu. Akaendelea, kitu kikishachumwa, anapewa mbuzi kwanza akile, kisha ile waste product ya mbuzi inaanikwa juani alafu inasagwa.
Baada ya hapo, ukali wake huwa mara 7 ya hii kitu ya Arusha. Jamaa baada ya kupiga kipisi cha kwanza, akapiga cha pili ile anamaliza tu, akanza kupiga kelele. Alikuwa anaona mawingu yapo chini ardhi juu. Punde mshikaji akazima kimyaa. Kama umuonavyo sasa hivi baada ya saa mbili kupita atleast anaanza kurikavaa.
Wana JF, leo bado nipo Arusha. Kesho nitaelekea Kondoa kwa ndugu zangu warangi. Siku njema