PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Kuna hii imani au sijui kama ni ukweli, watu wengi wa kanda ya kaskazini, na baadhi wa sehemu nyinginezo wanasema kwamba mtoto mchanga wa kiume akiangukiwa na kitovu chake maeneo nyeti wakati kinapokatika, basi mtoto huyo naniliu yake ndo haitafanya kazi tena, yaani haitasimama.
Hivyo wanahakikisha kuwa kipindi hicho kikikaribia, mtoto anavalishwa manguo kwa umakini wa ajabu!
Kuna ukweli gani kuhusu hili wataalamu?
Hivyo wanahakikisha kuwa kipindi hicho kikikaribia, mtoto anavalishwa manguo kwa umakini wa ajabu!
Kuna ukweli gani kuhusu hili wataalamu?