kitovu kuwa kikubwa nini chanzo

Mkwanga

Senior Member
Dec 6, 2010
146
19
wanajamii naomba mwenye ufahamu juu ya hili mtoto kuzaliwa kitovu kikubwa inasababishwa na nini?je kuna utaalamu wa kuweza kkufanya kikapungua natumaini mtanisaidia.
 
Mtoto hazaliwi na kitovu kikubwa, tatizo linakuwepo kwenye ukataji.

Ila pia inategemea na umri, kama ni chini ya mwaka mmoja au hata miwili kinaweza kurudi ndani chenyewe taratibu, kisiporudi chenyewe anaweza akafanyiwa operation kidogo kurekebisha.
 
Kama alivyosema d.ya sikio huitwa umblical hernia,hernia hutokea wakati utumbo,maji,mafuta yanaposukuma na kuingia eneo lililo na tundu(hole) au sehemu ambayo kuna weakness ya muscles.Kwa watoto mara nyingi huzaliwa nayo hata hivyo haina maumivu kwa mtoto.

Husababishwa na nini kwa watoto.

Kwa kawaida kwenye kitovu huwa kuna umblical ring ambayo kawaida hufunga kwenye kitovu kabla ya mtoto kuzaliwa,kama ikitokea haikufunga tissue zinasukuma kuingia kwenye hilo tundu la kitovu na kufanya hernia.

Kwa watoto wengine huanza kuonekana pindi kitovu kikikatika,lakini wengine huwa haionyeshi mpaka akiwa amekua.
mara nyingi unaigundua hasa mtoto akichuchumaa,akisimama wima amenyooka,wakati akilia,kukohoa, sehemu ya kidovu inatuna(bulge).

Matibabu yake.
1.Hupona yenyewe bila matibabu katka kipindi cha mwaka 1.
2.Kama mtoto akifikisha miaka 5 haijafunga tu njia ni kufanyiwa upasuaji mdogo kurekebisha hernia hiyo.
 
Kama alivyosema d.ya sikio huitwa umblical hernia,hernia hutokea wakati utumbo,maji,mafuta yanaposukuma na kuingia eneo lililo na tundu(hole) au sehemu ambayo kuna weakness ya muscles.Kwa watoto mara nyingi huzaliwa nayo hata hivyo haina maumivu kwa mtoto.

Husababishwa na nini kwa watoto.

Kwa kawaida kwenye kitovu huwa kuna umblical ring ambayo kawaida hufunga kwenye kitovu kabla ya mtoto kuzaliwa,kama ikitokea haikufunga tissue zinasukuma kuingia kwenye hilo tundu la kitovu na kufanya hernia.

Kwa watoto wengine huanza kuonekana pindi kitovu kikikatika,lakini wengine huwa haionyeshi mpaka akiwa amekua.
mara nyingi unaigundua hasa mtoto akichuchumaa,akisimama wima amenyooka,wakati akilia,kukohoa, sehemu ya kidovu inatuna(bulge).

Matibabu yake.
1.Hupona yenyewe bila matibabu katka kipindi cha mwaka 1.
2.Kama mtoto akifikisha miaka 5 haijafunga tu njia ni kufanyiwa upasuaji mdogo kurekebisha hernia hiyo.

Ahsante mkuu kwa maelezo yako mazuri.
 
kwa maelezo yako yaonesha hiyo yawezakuwa ni umbilical hernia(kama ambavyo wengine wametangulia kusema)!
matibabu:
  1. kama tundu lake ni dogo chini ya sentimeta 4 linauwezekano wa kujifunga by the age of 4yrs!
  2. otherwise to the above statement..upasuaji unaweza kuhitajika
  3. ni bora ukaonane na dr ili aweze kumpima huyo mtoto na akupe ushauri sahihi zaidi baada ya hapo!
 
Ahsante Mkuu,umetoa full class. Nimejifunza something new ( sababu+ mnx ya uh)
ILA HAPO CHINI EDIT KIDOGO...
NI MGANGA WA JADI SIO MIMI

...
Kama alivyosema d.ya sikio huitwa umblical hernia,hernia hutokea wakati utumbo,maji,mafuta yanaposukuma na kuingia eneo lililo na tundu(hole) au sehemu ambayo kuna weakness ya muscles.Kwa watoto mara nyingi huzaliwa nayo hata hivyo haina maumivu kwa mtoto.

Husababishwa na nini kwa watoto.

Kwa kawaida kwenye kitovu huwa kuna umblical ring ambayo kawaida hufunga kwenye kitovu kabla ya mtoto kuzaliwa,kama ikitokea haikufunga tissue zinasukuma kuingia kwenye hilo tundu la kitovu na kufanya hernia.

Kwa watoto wengine huanza kuonekana pindi kitovu kikikatika,lakini wengine huwa haionyeshi mpaka akiwa amekua.
mara nyingi unaigundua hasa mtoto akichuchumaa,akisimama wima amenyooka,wakati akilia,kukohoa, sehemu ya kidovu inatuna(bulge).

Matibabu yake.
1.Hupona yenyewe bila matibabu katka kipindi cha mwaka 1.
2.Kama mtoto akifikisha miaka 5 haijafunga tu njia ni kufanyiwa upasuaji mdogo kurekebisha hernia hiyo.
 
wanajamii naomba mwenye ufahamu juu ya hili mtoto kuzaliwa kitovu kikubwa inasababishwa na nini?je kuna utaalamu wa kuweza kkufanya kikapungua natumaini mtanisaidia.


Mwanangu alikuwa na tatizo hilo. alifanyiwa operation sasa fresh. Nenda hospital bana.

Mudushi
 
Back
Top Bottom