Kama alivyosema d.ya sikio huitwa umblical hernia,hernia hutokea wakati utumbo,maji,mafuta yanaposukuma na kuingia eneo lililo na tundu(hole) au sehemu ambayo kuna weakness ya muscles.Kwa watoto mara nyingi huzaliwa nayo hata hivyo haina maumivu kwa mtoto.
Husababishwa na nini kwa watoto.
Kwa kawaida kwenye kitovu huwa kuna umblical ring ambayo kawaida hufunga kwenye kitovu kabla ya mtoto kuzaliwa,kama ikitokea haikufunga tissue zinasukuma kuingia kwenye hilo tundu la kitovu na kufanya hernia.
Kwa watoto wengine huanza kuonekana pindi kitovu kikikatika,lakini wengine huwa haionyeshi mpaka akiwa amekua.
mara nyingi unaigundua hasa mtoto akichuchumaa,akisimama wima amenyooka,wakati akilia,kukohoa, sehemu ya kidovu inatuna(bulge).
Matibabu yake.
1.Hupona yenyewe bila matibabu katka kipindi cha mwaka 1.
2.Kama mtoto akifikisha miaka 5 haijafunga tu njia ni kufanyiwa upasuaji mdogo kurekebisha hernia hiyo.
Kama alivyosema d.ya sikio huitwa umblical hernia,hernia hutokea wakati utumbo,maji,mafuta yanaposukuma na kuingia eneo lililo na tundu(hole) au sehemu ambayo kuna weakness ya muscles.Kwa watoto mara nyingi huzaliwa nayo hata hivyo haina maumivu kwa mtoto.
Husababishwa na nini kwa watoto.
Kwa kawaida kwenye kitovu huwa kuna umblical ring ambayo kawaida hufunga kwenye kitovu kabla ya mtoto kuzaliwa,kama ikitokea haikufunga tissue zinasukuma kuingia kwenye hilo tundu la kitovu na kufanya hernia.
Kwa watoto wengine huanza kuonekana pindi kitovu kikikatika,lakini wengine huwa haionyeshi mpaka akiwa amekua.
mara nyingi unaigundua hasa mtoto akichuchumaa,akisimama wima amenyooka,wakati akilia,kukohoa, sehemu ya kidovu inatuna(bulge).
Matibabu yake.
1.Hupona yenyewe bila matibabu katka kipindi cha mwaka 1.
2.Kama mtoto akifikisha miaka 5 haijafunga tu njia ni kufanyiwa upasuaji mdogo kurekebisha hernia hiyo.
wanajamii naomba mwenye ufahamu juu ya hili mtoto kuzaliwa kitovu kikubwa inasababishwa na nini?je kuna utaalamu wa kuweza kkufanya kikapungua natumaini mtanisaidia.
Ahsante Mkuu,umetoa full class. Nimejifunza something new ( sababu+ mnx ya uh)
ILA HAPO CHINI EDIT KIDOGO...
NI MGANGA WA JADI SIO MIMI
...
samahani mkuu ulikuwa akilini mwangu nilijua naandika mganga wa jadi kumbe nikaandika DAWA YA SIKIO tehe tehe,nashukuru sana.