Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Ndio ni Membe, basi iyo ya Mtwara itakua ya pili. Lindi mjini kuna Hotel haina zaidi ya miaka 2 tangu iishe kujengwa inaitwa Lindi Oceanic View inasemekana ni ya kwake pia.
Pili hii pesa ya Comoro si ndio ile ambayo mnadhimu mkuu wa JWTZ Maj.Gen.Shimbo nae aliambiwa ameila. Inawezekana wali gawana wengi? Invisible kuna information aliitia kapuni kipindi news ya Shimbo ikijivinjali hapa JF-kwa hili anaweza kutusaidia zaidi.
Mkuu unaongelea hii?