Wafaransa walichoshwa na mama antonnete sijui,sasa watanzania nao wanakaribia kuchoshwa na maisha bora kwa kila fisadi especially aliyeko kwenye mtandao wa JK.Pia na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya ya kuwanifaisha mafisadi na wanamtandao.Mambo ya Mbeya, Mawe na Kuzomewa ....Leo tena kazuiwa
I am Smelling French Revolution very soon than later, wananchi tumechoka!
Thanks
Yeah,
Wananchi hawataki kulipwa fidia kwa sheria ya mwaka 1967. Wanataka sheria mpya ndo itumike. Leo ndio siku iliyokuwa imepangwa kuanza kulipwa kwa wananchi hawa lakini walitoa tamko kuwa hawakubaliani na serikali na hivyo leo wakaamua kutanda barabarani kumzuia JK kwenda Airport.
,hata mimi ningeingia barabarani hapo na bora wanifunge kuliko kukubali kudhulumiwa na hawa mafisadi..watu hawajakataa kuhama lakini hii biashara ya kulipana kwa bei za 1967 wakati tupo 2009 is a no no!
Mwaka 1967 USD 1 ilikuwa shilingi 7/=Yaani Afrika yatupasa kumwomba MUNGU sana atuponye na hii laana iliyoko juu la bara letu. Unyonyaji na dhuluma kila mahali. Maana kama kuna sheria mpya iweje wawalipe kwa sheria ya mwaka 1967 ambapo USD 1 ilikuwa sawa na Ths 1 kama si 2 Tshs. (mwenye takwimu sahihi anisahihishe). Ina maana watapunjwa kwa kama 650% hadi 1300 % hivi. Huu ni wizi mkubwa unaotaka kufanywa na serikali isiyojali watu wake. May GOD forbid.
Mambo ya Mbeya, Mawe na Kuzomewa ....Leo tena kazuiwa
I am Smelling French Revolution very soon than later, wananchi tumechoka!
NAAM; Bado USD 1 (I967) ilikuwa inaweza kununua Mafuta ya taa Lita 20 kwa hiyo hata wakiwalipa kwa USD kwa sheria ya 1967 bado sio haki kwani hata hiyo USD ime-devaluate.Mwaka 1967 USD 1 ilikuwa shilingi 7/=
Koba uko serious ama umeandika kwakuwa uko nyuma ya pazia la computer yako, mara nyingi nyie wasomi ndo mumeangusha taifa hili. Hodari kuongea na kuandika, ikija kwenye vitendo mnatafuta excuse...sina maana wewe nazungumzia kwa ujumla.
Kusema ukweli hii nchi inamaudhi sana wakati mwingine unaweza kukasirishwa ukajiuliza hivi hii nchi yenye sifa kwa wenzetu wanayo yafanya hi ya haki. Mfano hawa jirani zangu hapa kipawa wanataka kuwalipa fidia ya mwaka 1967 !!!!! kweli hii hi haki maana wakati sheria ya mwaka 67 inatungwa laki moja ya pesa ilikuwa ni nyingi sana mtu waweza nunu hata na gari ukajenga nyumba yako na balance ikabaki kubwa tu ya kutunza heshima mtaani.
Karne hii ya sasa mfuko mmoja wa simenti unauzwa sh. 14500/ ukitaka kujenga nyumba ya vyumba viwili vya kulala na kajisebule potelea mbali kule posta tukakuweka nje na kuzungushia magunia n kikawa cha passport size.
uje upewe shilingi laki 5 utazifanya nini?
lakini watalipwaje kwa sheria mpya wakati uamuzi umefanyika kwa sheria ya zamani? wenye kufahamu sheria nifafanulieni tafadhali...
kwasababu walijafanyiwa tena tasmni upya nadhani ilikuwa mwaka jana mwanzoni na kama walikuwa wanlijua hilo kwania kipindi kile (awamu ya kwanza) waliposema wanataka kupanua kiwanja hawakuwalipa kipindi kilekile waje wawatese weeeee halafu waseme wanwalipa now hii sio haki.
geuza upande wapili wa shilingi ungekuwa wewe ungefanyaje??
Congo,Kwa kuongezea maelezo yako ni kuwa kwa sheria ya sasa ardhi inatathminiwa pia. Sasa wakitumia sheria ya sasa watalipa zaidi. Lakini cha ajabu, why double standards. Wakati jiji linabomoa pale Tabata wale wananchi walilipwa 20m/= harakaharaka. Na pia kule kurasini mwaka juzi wakati wananchi wanaondolewa walipewa 20m/= kama thamani ya ardhi kabla ya ya tathmini ya mali zao. Vipi kipawa. Kwa nini wasingeachiwa wenyewe wauze kwa hao wawekezaji watakaokuja kuhitaji hivyo viwanja?