Van pierre
Member
- Mar 27, 2011
- 25
- 0
Nina rafiki yangu m1 mwislamu ngangari analalamika eti kuna nyumba ya marafiki zake wamemlisha nyama ya nguruwe mara 3 bila ya yeye kujua katika mazingira yale yale yanayofanana!!!!eti mara ya 1 alienda akakuta rosti la ukweli,yeye akadhani ni cow akaligonga,alipomaliza washkaji wakamtonya kuwa ishu ni mdudu!!!eti hali hiyo ilijirudia katika siku zingine mbili tofauti za usoni!!!wanajamii huyu jamaa ana haki ya kulalamika kweli!?inavyoonesha alinogewa na kujitupia kitu cha mdudu