Kiti MOTO hiki ni BALAA

Status
Not open for further replies.
asee sasa hapa sijui walikuwa hai ama???????????
huyu mdudu kwa sasa wanamtafuna saaana
japo mwezi huu mtukufu biashara huwa inadorora kimtindo


View attachment 34677

Mkuu hii kali, mnyama lazima asafirishwe bana
attachment.php
 
watoto wa ma mdogo wakiona hivi hasa ktk kipind hik cha mfungo watakulaan.inasemekana kuwa sasa hiv kinadoda mabuchani.bada ya mfungo pita ktk mabanda ya kitimoto uone balaa lake.tafakari
 
watoto wa ma mdogo wakiona hivi hasa ktk kipind hik cha mfungo watakulaan.inasemekana kuwa sasa hiv kinadoda mabuchani.bada ya mfungo pita ktk mabanda ya kitimoto uone balaa lake.tafakari

Ha ha ha ha ha ha, kinadoda, lol
 
Leo muda wa saa tisa ivi nitakua pale Caribean bar, karibu kabisa na bunge Dodoma ,,kuna mtaalamu (mpare) wa kutengeenea hii kitu.
 
Leo muda wa saa tisa ivi nitakua pale Caribean bar, karibu kabisa na bunge Dodoma ,,kuna mtaalamu (mpare) wa kutengeenea hii kitu.
<br />
<br />
astakafirulah, jamani mtaharibu swaumu yetu! kwani kushushia hiyo kitu usiku nayo mbaya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom