BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,125
- 732
Astaghafilulaaaaaaaaaaaahhhh!!!!!!
asee sasa hapa sijui walikuwa hai ama???????????
huyu mdudu kwa sasa wanamtafuna saaana
japo mwezi huu mtukufu biashara huwa inadorora kimtindo
View attachment 34677
Sredi nyingine zinaanzishwa tu ili kuwakera watu wengine
This is not gud kabisa
<br />Leo muda wa saa tisa ivi nitakua pale Caribean bar, karibu kabisa na bunge Dodoma ,,kuna mtaalamu (mpare) wa kutengeenea hii kitu.