Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,002
- 112,627
Itabidi wadahaliane (msianze kunirushia madongo..hili neno nimelitunga mwenyewe nikimaanisha wa debate). Mdahalo ni noun, kwa kiingereza debate ni noun na verb. Sasa verb ya mdahalo kwa kiswahili ndo sijui...lol