it seems 100% of your brain imejaa hamu ya ngono 2,CHADEMA chama mbadala ikitoka ccm(chama cha mafisadi)ndugu yangu CHADEMA kinakuwa tu kwa nguvu za mungu..wala hakuna kitengo idara wala hata dawati la mawasiliano ya umma...kuna idara ya habari na uenezi ambayo wamemuweka jamaa mmoja aliyewahi kuwa mbunge wa kisesa miaka ya nyuma na akashindwa shindwa baadaye mtu ambaye hana uwezo hata kidogo..mawazo yake yeye ni NGONO masaa 24..
SIKU WATANZANIA WAKIIJUA CHADEMA HALISI NDIO MWISHO WA UPINZANI NCHINI
Ni swala la kutoa kipaumbele tu, wameshindwa kuajiri webmaster kwa ajiri ya ku-update website ya chama...ni kitu cha kushangaza sana kuona website ya chama iko doro wakati ile wabsite ni dynamic ni rahisi tu ku-update....