Kitengo cha Habari cha Wizara ya Nishati na Madini watoe ufafanuzi uliotolewa Naibu Waziri Mwijage

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
Kwanza kabisa napenda kumpongeza naibu waziri wa nishati na madini Charles Mwaijage kwa kutoa ufafanuzi wa kina juu ya muswada ya sheria wa gesi na mafuta ya petrol lakini naona tatizo lililopo ni juu ya ufafanuzi huu uliotolewa leo ili wananchi ili waweze kuuelewa vizuri ili kuondoa upotoshaji uliofanya na wabunge ambao ni makuwadi wa madalali wanaotaka kuidalalia gesi yetu kasha wao kupiga pesa na kubaki matajiri wao na wajukuu wao.


Naibu waziri Charles Mwaijage katoa ufafanuzi mzuri sana na kila mwenye nia ya dhati na uzalendo wa kuitakia nchi yetu maendeleo na mafanikoa ya kizazi kijacho atakuwa ametakubaliana na mimi kuwa waziri amekidhi kiu ya maswali yaliyokuwepo hapo awali na muswada uendele kama ilivyopangwa hapo awali na tuachane wabunge ambao wanajifnya wazalendo kumbe ni mawakala wa madali nyuma ya pazia.


Kitengo cha idala ya habari na mawasiliano cha wizara ya nishati na madini wanapaswa kufanya jitihada kubwa na kuufahamisha umma wa watanzania juu ya ufafanuzi na majibu yaliyotolewa leo na naibu wananchi ili wananchi kwa ujumla waachane na dhana potofu waliolishwa na wabunge hao wa upinzani ambao mawakala .

Kitengo cha habari ya wizara hiyo kinatakiwa kutumia magazeti, redio tv pamoja na mitandao ya kijamii ili kuuelimisha umma haraka iwezekavyo ili kuondoa sintofahamu iliyoletwa na wabunge hawa wa upinzani,wizara hiyo inatakiwa kufanya jitihada kubwa kadri ya uwezo wao ili muswada huo wenye maslahi makubwa kwa wananchi upitishwe ili kulinda madalali na mafisadi wasiifisadi gesi na petrol yetu.


Mwisho kabisa watanzania tuwe makini na wabunge tunaowachagua kuingia bungeni badala ya kufanya kazi ya kuisimamia serikali wao weamegeuka kuwa mawakala wa madalali wanaotaka kuifisadi gesi na mafuta yetu.
 
Kwanza kabisa napenda kumpongeza naibu waziri wa nishati na madini Charles Mwaijage kwa kutoa ufafanuzi wa kina juu ya muswada ya sheria wa gesi na mafuta ya petrol lakini naona tatizo lililopo ni juu ya ufafanuzi huu uliotolewa leo ili wananchi ili waweze kuuelewa vizuri ili kuondoa upotoshaji uliofanya na wabunge ambao ni makuwadi wa madalali wanaotaka kuidalalia gesi yetu kasha wao kupiga pesa na kubaki matajiri wao na wajukuu wao.


Naibu waziri Charles Mwaijage katoa ufafanuzi mzuri sana na kila mwenye nia ya dhati na uzalendo wa kuitakia nchi yetu maendeleo na mafanikoa ya kizazi kijacho atakuwa ametakubaliana na mimi kuwa waziri amekidhi kiu ya maswali yaliyokuwepo hapo awali na muswada uendele kama ilivyopangwa hapo awali na tuachane wabunge ambao wanajifnya wazalendo kumbe ni mawakala wa madali nyuma ya pazia.


Kitengo cha idala ya habari na mawasiliano cha wizara ya nishati na madini wanapaswa kufanya jitihada kubwa na kuufahamisha umma wa watanzania juu ya ufafanuzi na majibu yaliyotolewa leo na naibu wananchi ili wananchi kwa ujumla waachane na dhana potofu waliolishwa na wabunge hao wa upinzani ambao mawakala .

Kitengo cha habari ya wizara hiyo kinatakiwa kutumia magazeti, redio tv pamoja na mitandao ya kijamii ili kuuelimisha umma haraka iwezekavyo ili kuondoa sintofahamu iliyoletwa na wabunge hawa wa upinzani,wizara hiyo inatakiwa kufanya jitihada kubwa kadri ya uwezo wao ili muswada huo wenye maslahi makubwa kwa wananchi upitishwe ili kulinda madalali na mafisadi wasiifisadi gesi na petrol yetu.


Mwisho kabisa watanzania tuwe makini na wabunge tunaowachagua kuingia bungeni badala ya kufanya kazi ya kuisimamia serikali wao weamegeuka kuwa mawakala wa madalali wanaotaka kuifisadi gesi na mafuta yetu.
smahani kwa swali langu,umeandika huu uzi ukiwa kwenye klabu ya pombe
 
Nonesense Pst; Umeona huyo Naibu Waziri anavyopayuka na Umelizika ya Kwamba Kuna watu Wanawawakilisha Mawakala. Hivi ktk Akiri ya Kawaida Wabunge wanaotaka Mswada Upate muda wa kutosha ktk kuujadiri ili kuzingatia Maslahi Mapana ya taifa V/s Wabunge Wanaoyefanya mambo faster faster ili apige deal ni wapi Msanii kwa Hao wawili.

Changanya na Zako ndg Hacha Ukasuku.
 
Nonesense Pst; Umeona huyo Naibu Waziri anavyopayuka na Umelizika ya Kwamba Kuna watu Wanawawakilisha Mawakala. Hivi ktk Akiri ya Kawaida Wabunge wanaotaka Mswada Upate muda wa kutosha ktk kuujadiri ili kuzingatia Maslahi Mapana ya taifa V/s Wabunge Wanaoyefanya mambo faster faster ili apige deal ni wapi Msanii kwa Hao wawili.Changanya na Zako ndg Hacha Ukasuku.


inawezekana wewe ndo ukawa kasuku,inawezekana wabunge walikurupuka kwa miemuko ya siasa na matakwa ya bosi wao,nashauri kama wasomi tujikite kwenye kutafiti nini kilichoko nyuma ya issue hii tutakuwa weredi wa kujua kipi ni kipi?
 
nilishawai kusema tunapochimba mafuta na gesi tusipokuwa makini tunaelekea kwenye migogoro iliyonyuma ya wanasiasa kwa maslai ya wafadhili wao,historia inaonyesha hivyo kwa mataifa yaliyochimba mafuta pasipo wananchi kuwa makini na badala yake kuwa washabiki wa wanasiasa badala ya wao kujua kipi ni kipi,
 
Kwani tatizo ni mswada au ni muda? Wanacho argue UKAWA ni kwanini uje kwa dharura? Na inaweEkana kbsa ccm wanzo sababu kwa nini waja kwa hati ya daharura ila wameshindwavkutoa jibu kihoja?
 
inawezekana wewe ndo ukawa kasuku,inawezekana wabunge walikurupuka kwa miemuko ya siasa na matakwa ya bosi wao,nashauri kama wasomi tujikite kwenye kutafiti nini kilichoko nyuma ya issue hii tutakuwa weredi wa kujua kipi ni kipi?

Kabla Haujapoteza Muda wa Kulifanyia utafiti Hili, Ebu jikumbushe yaliyotokea Kwenye Katiba Pendekezwa; Pili Mswada wa Media wa Juzi then Utagundua Kitu..
 
inawezekana wewe ndo ukawa kasuku,inawezekana wabunge walikurupuka kwa miemuko ya siasa na matakwa ya bosi wao,nashauri kama wasomi tujikite kwenye kutafiti nini kilichoko nyuma ya issue hii tutakuwa weredi wa kujua kipi ni kipi?

Mkuu kwani unafikili hawajui? Wizara ya Nishati na madini imeweka kila kitu wazi kabisa unaweza ku-download ukasoma kila kitu kwa wakati wako, sasa tatizo liko wapi! Tuwe wakweli hapa, Serikali imefanya kazi nzuri sana kuleta mswada ambao uta-benefit Watanzania wote na sio kunufahisha watu wajanja wachache wanao taka kishirikiana na wawekezaji wajanja , nikiona baadhi ya wana JF wanabeza beza jitihada za Wizara nawashangaa sana!! Hawa wanaotaka kwenda mahakamani wanafanya hivyo kwa manufaa ya kina nani kama sio hao nilio taja hapo juu, nani anataka Taifa letu likumbwe na matatizo kama Nigeria kuhusu masuala ya mafuta na gesi?

Vyama vya upinzani vikitaka kujimaliza kisiasa basi vijaribu kulivalia njuga za kupinga muswada huu - hapo nakuhakikishia watu wenye akili timamu wata - conclude kwamba vyama hivyo vina ajenda za siri za kutetea wanyonyaji na mafisadi - watapingaje mikakati ya kunufahisha Watanzania walio wengi!!
 
smahani kwa swali langu,umeandika huu uzi ukiwa kwenye klabu ya pombe

Mtoa post ana matatizo..si bure...wabunge wa upinzani hawajapinga mswaada wanachotaka upewe mda wa kujadiliwa...mbona simple and clear? Sasa mnakujaje kusema wanaukataa mswaada? Nyie ndo mwakala mnaotaka mambo yaende faster..------
 
pa.ma.da.k....mwisho wenu 25.10.2015....kila kitu kitafumuliwa upyaaa...nyie jifanyeni kama waTz ni wajinga...mtajibeba mwaka huu.
 
Haihitaji hata kujua muswaada una nini, dhamira pekee inaonyesha wazi kabisa muswaada huu ni SUMU ya hatari kwa watanzania.
Kwa mfano
1/Kwanini miswaada yote ije kwa hati ya dharura tena kipindi hiki cha mwisho cha bunge la utawala wa Kikwete?

2/Kwanini taratibu za bunge zivunjwe kwa makusudi kabisa ili tu kuhakikisha muswaada hii inasomwa chap chap na hapo hapo kupitishwa?

3/Kwanini Serikali na Spika hawataki kabisa maridhiano na wabunge wanaopinga muswaada hiyo kabla ya kuletwa bungeni?

4/Kwanini serikali na Spika hawataki kujifunza kwenye makosa kama hayo ya mwaka 1997 wakati wa upitishaji wa sheria ya madini ambayo serikali inakiri pia kuwa ilikosea?
 
Haihitaji hata kujua muswaada una nini, dhamira pekee inaonyesha wazi kabisa muswaada huu ni SUMU ya hatari kwa watanzania.
Kwa mfano
1/Kwanini miswaada yote ije kwa hati ya dharura tena kipindi hiki cha mwisho cha bunge la utawala wa Kikwete?

2/Kwanini taratibu za bunge zivunjwe kwa makusudi kabisa ili tu kuhakikisha muswaada hii inasomwa chap chap na hapo hapo kupitishwa?

3/Kwanini Serikali na Spika hawataki kabisa maridhiano na wabunge wanaopinga muswaada hiyo kabla ya kuletwa bungeni?

4/Kwanini serikali na Spika hawataki kujifunza kwenye makosa kama hayo ya mwaka 1997 wakati wa upitishaji wa sheria ya madini ambayo serikali inakiri pia kuwa ilikosea?

Hapo ndo wenye akili wakaona kuna hiden agenda hapo..sasa mambulula wanashangilia na kuiponda UKAWA
 
mtoa mada ambaye nahisi ni mmoja wa wabunge vilaza caliber ya nkamia na mwambungu,ukawa hawajaupinga mswada,wamepinga kuvunjwa kwa kanuni katika uwasilishwaji wake...is that too hard to comprehend!!!hivi elimu yenu ni ya wapi?
 
.toa mada ambaye nahisi ni mmoja wa wabunge vilaza caliber ya nkamia na mwambungu,ukawa hawajaupinga mswada,wamepinga kuvunjwa kwa kanuni katika uwasilishwaji wake...is that too hard to comprehend!!!hivi elimu yenu ni ya wapi?

These guys are just bunch of ------..wanapenda kubadilibadili vitu...
 
inawezekana wewe ndo ukawa kasuku,inawezekana wabunge walikurupuka kwa miemuko ya siasa na matakwa ya bosi wao,nashauri kama wasomi tujikite kwenye kutafiti nini kilichoko nyuma ya issue hii tutakuwa weredi wa kujua kipi ni kipi?

Ishu hapa ni kwanini usipate muda wa kuupitia zaidi....hayo mambo ya Mawakala ni propaganda zenu tu ambazo mtu msomi hawezi kukubaliana nazo kwan mwishoni mwa Uzi wako unaonyesha upo kissm zaidi
Ikumbukwe mambo yote maovu....
Mikataba yote mibovu ya madini......
Mikataba yote mibovu ya viwanda....
Mikataba ya ardhi ......
Ni serikali ya ccm imeifanya Leo hii mnataka kutuaminisha kuwa wapinzani wapo kwa ajili ya mawakala? Wakati wao wanapinga ni kwanini wanataka iwe vodafasta.
Halafu kwa mtanzania aliye huru asiye mfungwa na vyama atakubaliana na Mimi kuwa aliyefanya vurugu bungeni ni spika Ana makinda kwanini akatae taarifa toka kwa wabunge wa upinzani?
Be fair hata Kama wewe ni mtumishi wa SSM.
Leo hii watu wanataka wapatiwe muda wa kupitisha iyo sheria Kama inakadhi ,watu kwa mahaba yenu mnaleta eti maboss wao kawatuma.
Kama kuna maboss wa kizungu wanataka tupitishe she ria safi za gesi na zitakazo kidhi haja na matakwa yetu watanzania mm nawaunga mkono lakini Kama ndo hao maboss wa kutunyosha Mungu atuepushe nao na tumewachoka kwelikweli.
 
Nonesense Pst; Umeona huyo Naibu Waziri anavyopayuka na Umelizika ya Kwamba Kuna watu Wanawawakilisha Mawakala. Hivi ktk Akiri ya Kawaida Wabunge wanaotaka Mswada Upate muda wa kutosha ktk kuujadiri ili kuzingatia Maslahi Mapana ya taifa V/s Wabunge Wanaoyefanya mambo faster faster ili apige deal ni wapi Msanii kwa Hao wawili.

Changanya na Zako ndg Hacha Ukasuku.

Ninyi ni vibaraka tuu naibu waziri kaongea ukweli
 
Back
Top Bottom