Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,059
- 4,055
Kuwa shoga au kubadili jinsia kutoka mwanaume na kuwa mwanamke?
<br />Aibu kwa mujibu wa nani?
kwa mujibu wa mila na tamaduni za Tanzania.
Kuwa shoga ni aibu zaidi.
<br />
<br />
kwa mujibu wa mila na tamaduni za Tanzania.
Kwa ndugu, jamaa na marafiki wa muhusika..Aibu kwa nani kama mhusika haoni aibu?
Utamaduni wetu ni upi haswa?!Kuna siku niliuliza nikakosa jibu....
siku utakaposikia kuwa kaka yako au mwanao wa kiume ni hoga dnipo utakapo pata jibu la mila na desturi zetu.Utamaduni wetu ni upi haswa?!Kuna siku niliuliza nikakosa jibu....
Khaaaaaaa........ we kamshiki kangu ni noma aisee!... huachi kitu LOLMkirua huo utamaduni ulijengeka lini ?!Maana sidhani kama haya mambo yalikuwepo zamani mpaka kufikia kuyapinga kwenye utamaduni wetu.
kuna uwezekano tuna mashoga na wasagaji humu jf... haiwezekani mtu na atoe comments za hivi!!!!!Hebi niorodheshee hizo mila na tamaduni za Tanzani.
Mkirua huo utamaduni ulijengeka lini ?!Maana sidhani kama haya mambo yalikuwepo zamani mpaka kufikia kuyapinga kwenye utamaduni wetu.
kuna uwezekano tuna mashoga na wasagaji humu jf... haiwezekani mtu na atoe comments za hivi!!!!!
Khaaaaaaa........ we kamshiki kangu ni noma aisee!... huachi kitu LOL