TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,848
- 11,216
Wakuu....
Nimepiga kura kwa amani sana... sasa napata wasiwasi sana kusikia z'bar wanagoma kusaini, Arusha wanagoma ku-sign na pia nimesikia matokeo ya urais yasitangazwe hadi yajumulishwe...
Je ndio tunaanza kuelelea kenya experience?
Kama itakua hivyo, Kikwete na watu wako... hii ni damu yenu wala si ya wapinzani
Nimepiga kura kwa amani sana... sasa napata wasiwasi sana kusikia z'bar wanagoma kusaini, Arusha wanagoma ku-sign na pia nimesikia matokeo ya urais yasitangazwe hadi yajumulishwe...
Je ndio tunaanza kuelelea kenya experience?
Kama itakua hivyo, Kikwete na watu wako... hii ni damu yenu wala si ya wapinzani