Kitendawili

Mkuu kitendawili chako kigumu, lakini si tatizo mie nakupa mji. Nenda kigoma mwana wane ukale migebuka na muheshimiwa zito. Haya lete jibu sasa
 
Kigoma kwa watani wangu, siendi. Hata hivyo jibu lake ni rahisi sana.
 
au mimi nikupe mji? basi nenda dodoma saa hizi kumetulia wabunge wameondoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom