Kitendawili...Wanamtandao ndio Kina nani hawa?

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Nimekuwa nikisikia kila mara kuhusu hili suala la wanamtandao. Kuanzia kampeni za uchaguzi, utawala wa nchi, uteuzi wa viongozi wa serikali ya Mh. JK etc. Naomba kujua, je, ni kina nani hawa? Je, diyo wenye kuongoza serkali? Nguvu zao ni kubwa kiasi gani katika kutuchagulia viongozi? Je, kazi zao zaonyesha ni kulegalega kwa utawala wa sheria hadi watu ku-seek protection ya hawa wanamtandao? Ni njia gani ya kuondoa hii dhana ya wanamtandao? Je, wanaweza kuwa na nguvu kama mafioso wa kirusi?

Naomba jibu wanaJF!
 
Nimekuwa nikisikia kila mara kuhusu hili suala la wanamtandao. Kuanzia kampeni za uchaguzi, utawala wa nchi, uteuzi wa viongozi wa serikali ya Mh. JK etc. Naomba kujua, je, ni kina nani hawa? Je, diyo wenye kuongoza serkali? Nguvu zao ni kubwa kiasi gani katika kutuchagulia viongozi? Je, kazi zao zaonyesha ni kulegalega kwa utawala wa sheria hadi watu ku-seek protection ya hawa wanamtandao? Ni njia gani ya kuondoa hii dhana ya wanamtandao? Je, wanaweza kuwa na nguvu kama mafioso wa kirusi?

Naomba jibu wanaJF!
Uwasiliane na EL,RA na HC watakueleza vizuri wenzao na wanafanya nini.
 
Hata wewe unawajua kulingana na ulivyouliza swali lako
 
''Siasa ni kazi ya makundi, tena zaidi kila chaguzi hutengeneza makundi'' Kingunge Ngombale Mwilu
'' Makundi wakati wa uchaguzi hayaepukiki, kila kundi lina mgombea linalo muunga mkono, hawa sikuhizi wanaitwa wapigadebe, wanamtandao na kadharika'' Jakaya Mrisho Kikwete.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom