Kitendawili: Ni Nchi gani mwizi anapewa hazi ya uheshimiwa?

shungurui

JF-Expert Member
Sep 1, 2008
3,765
5,153
Kwa kweli ninasikitika sana ninapotizama siasa ya nchi hii.

Wizi unapewa Baraka zote na mwenye haki harusiwi kuhoji.
Wameiba hela,kura lkn bado wanalindwa na katiba. Ni Aibu tupu

Pamoja na uwozo wote unao fanywa na wanasiasa hasa waliopo madalakani, bado wapo watu wanayafumbia macho as if nothing happened. Wanashabikia uozo huo na wengine wanataka waandamane.

Yaani inauma sana.

Hivi tunaacha kumbukumbu gani kama vizazi vinavyo kuja?
Kama ya kina mashujaa chief Mkwawa?
 
Kwa kweli ninasikitika sana ninapotizama siasa ya nchi hii.

Wizi unapewa Baraka zote na mwenye haki harusiwi kuhoji.
Wameiba hela,kura lkn bado wanalindwa na katiba. Ni Aibu tupu

Pamoja na uwozo wote unao fanywa na wanasiasa hasa waliopo madalakani, bado wapo watu wanayafumbia macho as if nothing happened. Wanashabikia uozo huo na wengine wanataka waandamane.

Yaani inauma sana.

Hivi tunaacha kumbukumbu gani kama vizazi vinavyo kuja?
Kama ya kina mashujaa chief Mkwawa?

Achilia mbali WIZI...Kuna wenye kesi za UFISADI, MAUAJI na UCHAWI BUNGENI achilia mbali dharau kwa wananchi lakini wamepewa madaraka na baraka zote kuwa wabunge na wengine ni mawaziri watarjiwa...siasa za TZ ni kujuana na hii nchi ina wenyewe wengine tulie tuu. :angry:
 
Ni bora chifu Mangungo wa Msovero aliyebadilishana ardhi kwa kipande cha nguo alikuwa hajui kusoma wala kuandika kuliko hawa wanaobadilishana madini yetu kwa vyandarua alafu wanajiita madokta.
 
Ipo siku watayaeleza yote mahakamani. Kwa wale watakaoondoka mapema wajiandae kutoa maelezo mbele ya kiti cha enzi.
 
Ni bora chifu Mangungo wa Msovero aliyebadilishana ardhi kwa kipande cha nguo alikuwa hajui kusoma wala kuandika kuliko hawa wanaobadilishana madini yetu kwa vyandarua alafu wanajiita madokta.

hahaa nimeipenda sana hiii...Yaani baba zima linakaa majukwaaani linajitamba eti tumepewa net za mbu!!! Shit...this is not a priority bana
 
Back
Top Bottom