KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
magamba ni kama vigeugeu miaka ile walisema cuf mara cdm wana vurugu
UMESAHAU YAFUATAYOTarehe 3 mwezi October 2011 watanzania kuvaa nguo nyeus kulaani utendaji wa serikali kama kama unaguswa na mambo yafuatayo basi na wewe vaa na umwambie na mwenzako kama yana muhusu naye avae.
1.ukosefu wa ajira
2.kupanda kwa gharama za maisha
3.huduma mbaya za afya, elimu na maji.
4.ukosefu wa umeme
5. Ufisadi
6.mikataba mibovu
7. Ubaguzi kwenye mikopo ya elimu ya juu
8.malipo duni ya wafanyakazi wa serikali
9.ufujaji wa mali ya umma kwa watendaji wa serikali kwa safari zisizo na tija.
10. Kuwakumbatia wawekezaji katika kuiba ardhi na rasilimali ya wanyonge
Huu ni ujumbe unao zunguka kwenye Mitandao ya kijamii twitter, facebook na myspace pia sms kwa njia ya simu zimeanza kusambaaa nchi nzima.
Huyu jamaa ana asili ya Somalia aka Al Shabab. Mwogopeni kama ukoma, atawafanya kitu mbaya wakato wowote ule.
Alikuwa anajilinda asije akamwagiwa tindikali. Kazi ya silaha ni kujilinda mwenyewe na mali zako au kuwindia. Hapa ni wazi kabisa alikuwa anajilinda. Pia kuna jambo moja la kushangaza: Ukiwa na silaha hutakiwi kuiacha popote. Rage asingeweza kuiacha silaha guset kwa kuwa ikiibwa ingekuwa msala kwake hivyo ni vyema ukatembea nayo. Tatizo liko wapi?
UMESAHAU YAFUATAYO
11.udini uliokithiri
12. ukabila wa waziwazi
13. uchochezi na uvunjifu wa amani na
14. uzushi na uongo wenye mrengo wa kuandaa mazingira ya kupata uungwaji mkono