Kitendawili: 12 Julai, 1998 kulitokea nini?

Kama kaiba makololo ambayo yeye kaona ni mali halafu kafanya usafi, ofkozi nitachekelea!
 
Yeah..mkubwa hapo juu namuunga mkono..mabomu yalishuka kwenye ubalozi wa marekani hapo Dar pia na Nairobi..kamakuna jingine sawa but hiyo nayo ilikuwa mojawapo ya jambo zito lilitokea siku hiyo..tupo sawa mwanakijiji?
 
mwizi akiingia nyumbani akakuibia halafu akavipanga vitu vyako na kufagia utamshukuru kwa usafi?

Balali alikuwa ana vision na mission nzuri sana, siasa ndo zilimvurugia mipango yake. Rest in peace good man. Umetuachia alama za kudumu (twin towers) tutakukumbuka in all our generations........
 
Yeah..mkubwa hapo juu namuunga mkono..mabomu yalishuka kwenye ubalozi wa marekani hapo Dar pia na Nairobi..kamakuna jingine sawa but hiyo nayo ilikuwa mojawapo ya jambo zito lilitokea siku hiyo..tupo sawa mwanakijiji?

Mabomu ya Dar na Nairobi yalitokea August 7, 1998. Hapa tarehe inayo ongelewa ni July 12 1998.
 
Last edited:
Balali alikuwa ana vision na mission nzuri sana, siasa ndo zilimvurugia mipango yake. Rest in peace good man. Umetuachia alama za kudumu (twin towers) tutakukumbuka in all our generations........

Unajua ndiyo tatizo moja la Tanzania mkuu. Balali had the option to resign kama aliona mambo yanayoendelea ni against his principles. Why didn't he quit sooner? It means aliona perks za ofisi were worth any outcome. I don't know why Tanzania mtu kujiuzulu ni mpaka awe cornered.
 
Last edited:
Unajua ndiyo Tatizo moja la Tanzania mkuu. Balali had the option to resign kama aliona mambo yanayoendelea ni against his principals. Why didn't he quit sooner? It means aliona perks za ofisi were worth any outcome. I don't know why Tanzania mtu kujiuzulu ni mpaka awe cornered.
Kama alivyofanya Sakina Datoo?
 
Unajua ndiyo Tatizo moja la Tanzania mkuu. Balali had the option to resign kama aliona mambo yanayoendelea ni against his principals. Why didn't he quit sooner? It means aliona perks za ofisi were worth any outcome. I don't know why Tanzania mtu kujiuzulu ni mpaka awe cornered.

Nakubaliana na wewe mkuu, tatizo letu hata resignation yako hapa nchini kwetu mpaka polititians waikubali eg Idrisa Rashid (TANESCO). Siasa zimetawala kila kona hata katika mambo ya kitaaluma.
 
Kama alivyofanya Sakina Datoo?

Hiyo issue ya Sakina Datoo siijui vizuri mkuu kucomment sana. Ila ukweli ni kwamba Tanzania mtu kujiuzulu ni mpaka kuwe na no other way. Kwa nchi za wenzetu si ajabu kusikia mtu kujiuzulu kwa sababu ana itikadi tofauti na boss wake awe bureaucracy ya ofisi fulani imemshinda. It doesn't matter what good of a man or what visions Balali had ukweli una baki pale pale kuwa he knew what was going on na akakubali kubaki which means alikubali hali iliyo kuwepo. In the case of Sakina Datoo the same might be true.
 
Nakubaliana na wewe mkuu, tatizo letu hata resignation yako hapa nchini kwetu mpaka polititians waikubali eg Idrisa Rashid (TANESCO). Siasa zimetawala kila kona hata katika mambo ya kitaaluma.

It's true ni mpaka bosi wako akubali resignation yako. Lakini kama mtu ulisha tuma resignations it will go on record kuwa you wanted to leave. Na pia hakuna mtu anayeweza kulazimishwa kushikilia nafasi fulani. If a person really wants to leave a post hawezi kulazimishwa kubaki. Tatizo Tanzania mtu kutuma resignation inakuwaga moja kati ya haya mawili.
1.Mtu kaboronga sana na badala ya kuaibika kwa kufukuzwa kazi anapewa option ya kuandika barua ya kujiuzulu. Lakini hapa siyo kwamba mtu kajiuzulu kwa hiari ni ana kwapa aibu tu ya kuambiwa "You are fired".

2.Ya pili ni mtu ana andika barua ya kujiuzulu hoping bosi wake hata ikubali. Hii ina maana akiendelea kuboronga siyo makosa yake tena bali ya bosi wake. Si uhakika but it was rumored that EL aliandika barua ya kujiuzulu hoping JK ange kataa resignation yake.

Lakini bado mkuu if a person sincerely wants to resign hata bosi wake hawezi kumzuia. Because kila bosi kama siyo kutaka mchapakazi basi at least atataka mtu loyal kwake. Na kama anajua mtu ana nia kweli ya kujiuzulu anajua huyo mtu akibaki hata chapa kazi kama ipasavyo na wala hawezi kuwa loyal kwake.
 


2.Ya pili ni mtu ana andika barua ya kujiuzulu hoping bosi wake hata ikubali. Hii ina maana akiendelea kuboronga siyo makosa yake tena bali ya bosi wake. Si uhakika but it was rumored that EL aliandika barua ya kujiuzulu hoping JK ange kataa resignation yake.

Lakini bado mkuu if a person sincerely wants to resign hata bosi wake hawezi kumzuia. Because kila bosi kama siyo kutaka mchapakazi basi at least atataka mtu loyal kwake. Na kama anajua mtu ana nia kweli ya kujiuzulu anajua huyo mtu akibaki hata chapa kazi kama ipasavyo na wala hawezi kuwa loyal kwake.

Thats Very true.... Jamaa wana tingisha kiberiti. Lakini hii dhana ya uwajibikaji hata kwa makosa ya walio chini yetu inabidi ianze kujengeka. Ingawa Balali alikuwa na mipango mizuri na hasa baada ya kuingililiwa kitendaji na wanasiasa. Ilimbidi ajiuzulu mapema kabla mambo hayajaharibika kama ilivyokuwa.
 
Unajua ndiyo tatizo moja la Tanzania mkuu. Balali had the option to resign kama aliona mambo yanayoendelea ni against his principles. Why didn't he quit sooner? It means aliona perks za ofisi were worth any outcome. I don't know why Tanzania mtu kujiuzulu ni mpaka awe cornered.

viongozi wa kiafrica wakisha fikisha 60yrs+ wanafikiria utajiri wa haraka na wala hawafikirii kizazi cha kesho....
mimi napinga hawa politician wazee sana kwa ajili wao ni njia za mkato hawawezi kufanya mambo mengine ya maana zaidi ya kuandaa pensheni yao
serikali ya TZ imempeleka havard kwa imani atakuja kuisaidia TZ madudu aliyoyaleta sio mchezo (ndio maana watu wanamuona nyerere ajafanya kitu kwa ajili ni investment zake kwenye human capital ndio zimemuangusha)



Nakubaliana na wewe mkuu, tatizo letu hata resignation yako hapa nchini kwetu mpaka polititians waikubali eg Idrisa Rashid (TANESCO). Siasa zimetawala kila kona hata katika mambo ya kitaaluma.

idrisa hawezi kujiuzulu kwa ajili kuna madudu ameyafanya BOT na yeye kuendelea kuwa tanesco kunampa kinga

kuna mahusiano mengi sana kati ya idrisa na daudi (kwanza wote ni ma DR ambao wanasifika kwa utendaji mzuri kwenye vijiwe vingi lakini ukweli ni tofauti kabisa).....

(na idrisa naye baada ya kusomeshawa bure amekuja kututenda, ndio maana watu wanamuona nyerere ajafanya kitu kwa ajili ni investment zake kwenye human capital ndio zimemuangusha)

mtu yeyote anaesema amekataliwa na bosi wake ku resign ujue alikuwa hana dhamira ya ku resign, bosi wako hakukatalii bali anakushawishi uwendelee kubaki, kama JK alimshawishi idrisa aendelee ni nini kishawishi kipi kilitumika????
 
Kama kaiba makololo ambayo yeye kaona ni mali halafu kafanya usafi, ofkozi nitachekelea!

kama kaiba makolokolo ujue huyo alikuwa amepania sana kukuibia na angepata nafasi ya kuiba vile vya thamani, angeviiba vyote na ungeishia kufa kwa ugonjwa wa moyo
thanks ameiba makolokolo (over $700m zimepotea chini ya utawala wake)
 
I see this topic is deveating off track, so what really happened on this date?

Has it got any thing to do with our father of the nation.......?

Mister-G
 
Sina hakika lakini nadhani swali la Mwanakijiji linahusiana na Utawala kwanza kisha ndio tunaingia kwetu sisi walalahoi.
Mwaka 1998 Nyerere alikuwa hai bado sasa hapa mkuu kilichotokea ambacho kimebadilisha nchi yetu, hususan ktk MIJADALA.. Hapa kweli umetupiga goli..kwa sababu ni wakati Mh. Mkapa (mtawala wetu) alikuwa akisifiwa, sasa sielewi kama inahusiana na kodi, au mbiu ya Mkapa - UWAZI...ingawa sielewi Mkapa alitangaza lini kuhusu Uwazi..
Hili pekee ndilo naloweza kusema kwamba limebadilisha kabisa jinsi tunavyojadili na watawala wetu tukitaka uwazi ktk kila swala linalohusiana na Utawala bora (Good Governance)
 
Mwal. Nyerere alisafiri kwenda St. Thomas London kwa matibabu siki gani???

Nyerere ali safiri kwenda London September 9, 1999. Mnamo August, 1998 Nyerere ndiyo alikua diagnose with leukaemia. Kama nitakua nime kosea nita rekebishwa but this is the case as far as I know.
 
Last edited:
Back
Top Bottom