Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,719
Hana haja ya kutumia namba bali kuchumpa na kuramba keki simpo.
Mkuu Father of All atakuwa ameharibu njia yote si Paka atamkanata Mkuu* umeharibu kabisa Kitendawili changu chote.Hana haja ya kutumia namba bali kuchumpa na kuramba keki simpo.
Mkuu Father of All Don't worry.............Be happyMkuu Mzizimkavu I am sorry abot that.
namba 3 . mashallahhhh
thapppoootttiiii3 mkuu
Je huyu panya atumie namba ipi kati ya hizo namba 1,2,3. Ili aweze kufkia keki? Boflo Mkuu Mbuzi Mzee na Wengine wakuu? Kisieni hapo.................
hapa njia ya chini kabisa hivyo vinamba vyako sivielewi.Swali langu Jingine Mtoto huyu anataka kwenda shule atumie namba ipi kati ya hizi 1,2,3. Ili aweze kufika shule mapema? mkuu TAUNO
kaka unaona sana si ajabu na kwa ndani unaweza kupakisianamba 3 . mashallahhhh
ambavyo havina vidole vipo viwili na vimezuiwa na viganja vingine.Mkuu TAUNO na Mkuu Father of All unaweza kugunduwa kuna kiganja cha mkono lakini hakina vidole kipo sehemu gani kati ya hivi viganja Vingi?
Namba 3 mkuu,uhakika 100%Je huyu panya atumie namba ipi kati ya hizo namba 1,2,3. Ili aweze kufkia keki? Boflo Mkuu Mbuzi Mzee na Wengine wakuu? Kisieni hapo.................
kweli kabisa mdogo wangu, hiyo ndiyo fani yangu-mwaka wa 15 sasa. Hata Lundenga(boss wa Miss Tz) ananikubalikaka unaona sana si ajabu na kwa ndani unaweza kupakisia
Namba ipi itakayo wahi kumfikia Queen?.....................................1,2,3?
Namba ipi iliyokosekana?