Timtim
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 608
- 124
Pole sana.
Ingelikuwa jambo la busara ukamsitiri mumeo. Kumbukuka mumetoka wapi kimaisha. Sawa pamoja kuwa mumeo ni mshenzi wa kutupa maana kufanya mambo kitandani kwenu ni kuisaliti ndoa yenu na bila shaka amezoea. 40 yake imefika ukaona Live mwenyewe.
Ushauri mzuri muongee na mulitatuwe wenyewe bila hata ya mjomba kujuwa.
Hata hivyo mumeo hana adabu. Lakini anaweza akatubu toba ya kweli na life yenu ikabadilika kabisa.
Ingelikuwa jambo la busara ukamsitiri mumeo. Kumbukuka mumetoka wapi kimaisha. Sawa pamoja kuwa mumeo ni mshenzi wa kutupa maana kufanya mambo kitandani kwenu ni kuisaliti ndoa yenu na bila shaka amezoea. 40 yake imefika ukaona Live mwenyewe.
Ushauri mzuri muongee na mulitatuwe wenyewe bila hata ya mjomba kujuwa.
Hata hivyo mumeo hana adabu. Lakini anaweza akatubu toba ya kweli na life yenu ikabadilika kabisa.