Kitanda!!

Hata uwe na kitanda kizuri namna gani km hamna hisia za ndani na ufanisi katika huduma toka kwa hao wanaolala hapo ni kazi bure, Kwanza upendo/mapenzi halafu mengine yanafuata.
Wapo matajiri wenye kila kitu ndani lakini bado wanalazimika kwenda uswahilini kwenye vitanda vya banko na wanalala usingizi fofofo na kujisikia raha na hao wanaolala nao.
Hao hawafuati "mahusiano" bali wanafuata ngono. Ngono hata jalalani inawezekana!!
 
Si umeona wengine wanasema wao hata wakikuta kitanda kiko vururuvururu wao haiwapi shida!!

hao wavivu tu wa kusafisha mazingira, mie kitanda iikiwa na kitone kidogo tu cha mchanga siwezi kulala, mashuka yakiwa nyafunyafu sipati usingizi loh!!!!!!
 
Haswaaa umenena mkuu, kitanda kinahucka sana kuongeza mvuto na kutia nakshi kwnye mahusiano pale TU kitakapowekwa kwele hali nzuri,especially swala la usafi,aina ya godoro+rangi za mashuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom