Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
Mwana wa Mariam aka Jesus.
ni Yesu na sio Yessu!
Mwana wa Mariam aka Jesus.
ni Yesu na sio Yessu!
Ok, ok, ok, Yesu, umeshaelewa? kama bado huyu hapa, au unabisha si yeye?
Mwanakijiji naomba tafadhali ungeaandaa shairi kuhusu kitanda
uliposema kitanda rafik wa kweli.
hutupokea na huzuni zetu
hutupokea na vicheko vyetu
hutupokea na mawazo yetu
hutupokea na papara zetu
kitanda hakituhukumu...
kitanda hakisemi neno
kitanda chenyewe hakina neno...
Mwana wa Mungu, King of Kings, King of Peace, the first born from the dead, the saviour of the world,Mwana wa Mariam aka Jesus.
Hizi Picha ndio zinazokupotezeni Faiza.Gatuso,Ac-Milla&italy's player...
Mwana wa Mungu, King of Kings, King of Peace, the first born from the dead, the saviour of the world,
He created the earth and He will rule it.
Wakasema wote, Basi, wewe ndiwe Mwana wa Mungu? Akawaambia, Ninyi mwasema kwamba mimi ndiye.
Luka 22.70
Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.
Mathayo 27.43
Jee, Yessu alilala kitandani?