Kwa Mazaga zaga ya huku kwetu hivyo havitufai, maana kuna mademu wazito km mamba au kiboko sasa ukimgalagaza hapo kinakatika.
sie saizi yetu vile vitanda vya POPO BAWA aaah hapo uwe na Mwana swala, Sungura au Kiboko ruksa!
hiki ndio kitanda cha ukweli, utakacho lalia miaka na miaka.
Halafu wewe???? haya langu jichogaga unaona mavituuz haya...hebu jaribu kuulizia show room ya hawa jamaa iko wapi nikamnunulie darling wangu g
mwisho ya yote utalala tu kwenye udongo ndani ya kashimo ka futi sita kwa moja na nusu
usingizi uleule.............:biggrin1:
Acha bwana unafanya tukumbuke waliotutoka
Hiki ndio Kitanda cha ukweli, utakacho lalia miaka na miaka.
Hata mimi nilitaka kusema hivo. Ni decoration ndio inafaya kitanda kuonekana che ajabu.Haya bwana, hizi huwa zinakuja kila mwaka kwa ajili ya ikulu ya magogoni, huwa natilia shaka ubora wake kama ni bora kwa nini tununue kila mwaka......ila vikiwa ndani vinapendeza saaana!!
Haya ni mambo ya serikali ya Magamba!Rich country poor people, shame on you the MAGAMBA!
Hiki ndio Kitanda cha ukweli, utakacho lalia miaka na miaka.
Ndio ukumbusho ulio bora.Acha bwana unafanya tukumbuke waliotutoka