Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,185
^^
Sote tunafahamu umuhimu wa kitanda cha chumbani katika kuleta furaha ya mapenzi kati ya wapenzi wawili wa jinsia tofauti..Lakini pengine ni wachache wanafahamu kuwepo kwa uhusiano kati ya mafanikio ya wanandoa kitandani na mafanikio ya maishani.Bila shaka wanawake watafaidika zaidi na habari hii juu ya waume zao.
...
Wanawake walio katika ndoa wamewahi kujikuta ghafla waume zao waliokuwa na bidii katika biashara,kazi, au furaha ya kawaida,,wanabadilika ghafla ni kana kwamba wana mashaka na wake zao,au wanakasirika ovyo au kuchukizwa na sauti za watoto ktk familia au pengine asiwe na dalili hizo ila tu ameshuka moyo na nia ya kusaka maendeleo imepotea kabisa!!
...
Mwanamke ukiona dalili hizo usiogope au kutishika au kukimbilia mizizi,,sababu iliyo ktk mawazo ya kina ya mwanaume ni hii,,
Dokt Fort ambaye amejishughulisha na matatizo ya wanaume ktk mapenzi anasema kuwa
"...Mwanaume anaweza kuvumilia kushindwa ktk kazi,elimu,siasa, au jamii ilimradi tu anapata ushirikiano mzuri katika kitanda wakati wa mapenzi..Lakini mafanikio katika nyanja zote za maisha huwa hayana thamani yoyote ikiwa mwanaume hajafanikiwa kitandani,,kwa mwanaume kushindwa ktk kitanda ni kushindwa katika maisha..."
...
Mwanamke unapaswa kumtia moyo mumeo muwapo ktk tendo la ndoa,,mpe maneno mazuri,,gusia namna ambavyo unapendezwa na juhudi zake ktk maisha,,mpapase,,ongea kwa udhati hata kama unajua mumeo si bora ktk kazi.Fanya hivi kwa simu awapo mbali, kwa sms awapo kazini,,utasikia siku mmoja akitamka kwa rafiki zake '.. Mke wangu ni mwanamke kweli,nilipokuwa nimekwisha,,yeye tu alikuwa na imani kwangu..'
^^
Sote tunafahamu umuhimu wa kitanda cha chumbani katika kuleta furaha ya mapenzi kati ya wapenzi wawili wa jinsia tofauti..Lakini pengine ni wachache wanafahamu kuwepo kwa uhusiano kati ya mafanikio ya wanandoa kitandani na mafanikio ya maishani.Bila shaka wanawake watafaidika zaidi na habari hii juu ya waume zao.
...
Wanawake walio katika ndoa wamewahi kujikuta ghafla waume zao waliokuwa na bidii katika biashara,kazi, au furaha ya kawaida,,wanabadilika ghafla ni kana kwamba wana mashaka na wake zao,au wanakasirika ovyo au kuchukizwa na sauti za watoto ktk familia au pengine asiwe na dalili hizo ila tu ameshuka moyo na nia ya kusaka maendeleo imepotea kabisa!!
...
Mwanamke ukiona dalili hizo usiogope au kutishika au kukimbilia mizizi,,sababu iliyo ktk mawazo ya kina ya mwanaume ni hii,,
Dokt Fort ambaye amejishughulisha na matatizo ya wanaume ktk mapenzi anasema kuwa
"...Mwanaume anaweza kuvumilia kushindwa ktk kazi,elimu,siasa, au jamii ilimradi tu anapata ushirikiano mzuri katika kitanda wakati wa mapenzi..Lakini mafanikio katika nyanja zote za maisha huwa hayana thamani yoyote ikiwa mwanaume hajafanikiwa kitandani,,kwa mwanaume kushindwa ktk kitanda ni kushindwa katika maisha..."
...
Mwanamke unapaswa kumtia moyo mumeo muwapo ktk tendo la ndoa,,mpe maneno mazuri,,gusia namna ambavyo unapendezwa na juhudi zake ktk maisha,,mpapase,,ongea kwa udhati hata kama unajua mumeo si bora ktk kazi.Fanya hivi kwa simu awapo mbali, kwa sms awapo kazini,,utasikia siku mmoja akitamka kwa rafiki zake '.. Mke wangu ni mwanamke kweli,nilipokuwa nimekwisha,,yeye tu alikuwa na imani kwangu..'
^^