Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,103
- 16,147
Aaah! Ww dogo sana huwezi jua hii kitu. Yaani imenikumbusha mwaka 1995 pale VINGUNGUTI ''A'' P/SCHOOL yaani kuangalia picha 5 sh 10/= wakati huo kwa pesa hiyo unapata supu ya mapupu kwa mama kapaya(rip my beloved grand ma)daah hii mimi siisomi ni kitu gani.
Aaah! Ww dogo sana huwezi jua hii kitu. Yaani imenikumbusha mwaka 1995 pale VINGUNGUTI ''A'' P/SCHOOL yaani kuangalia picha 5 sh 10/= wakati huo kwa pesa hiyo unapata supu ya mapupu kwa mama kapaya(rip my beloved grand ma)
MadameX enzi hizo mahujaji shurti waje na hizi na madumu ya maji zamzam!Duuh ilikuwa ni zawadi kubwa sana enzi hizo mzee alipoenda makkah