Elections 2010 Kitakachotokea kabla ya 31 oct

Kituko

JF-Expert Member
Jan 12, 2009
9,555
9,330
Hali ya JK na CCM kisiasa kwa ujumla wake si nzuri na dalili zote zinaonyesha anguko kuu la CCM, silaha ya mwisho atakayotumia JK na CCM ni ya kuhahirisha Uchaguzi mpaka mwakani, miongoni mwa mbinu zilizopo ni hii ya JK Kujiangusha siku chache kabla ya uchaguzi na tutaelezwa hali yake si nzuri na atapelekwa nje ya nchi kutibiwa na uchaguzi utahahirishwa mpaka mwakani ili CCM wajipange vizuri kukabiliana na Slaa, nimedokezwa na kada wa CCM
 
Hata ivo afya yake ni mbovu kweli. Hapaswi kugombea wala kuwa kiongozi.
 
Ina maana tanzania hakuna mtu wa kuwa rais hadi tumsubiri mgonjwa apone, hatujafikia usultani huo akienda aende salama huku tanzania ikisonga mbele.
 
Hali ya JK na CCM kisiasa kwa ujumla wake si nzuri na dalili zote zinaonyesha anguko kuu la CCM, silaha ya mwisho atakayotumia JK na CCM ni ya kuhahirisha Uchaguzi mpaka mwakani, miongoni mwa mbinu zilizopo ni hii ya JK Kujiangusha siku chache kabla ya uchaguzi na tutaelezwa hali yake si nzuri na atapelekwa nje ya nchi kutibiwa na uchaguzi utahahirishwa mpaka mwakani ili CCM wajipange vizuri kukabiliana na Slaa, nimedokezwa na kada wa CCM

Hizo ni tetesi, hisia zako, au?

DR. SLAA FOR LIFE!!
 
Kwa ccm lolote linawezekana.
tetesi yoyote ni kuifanyia kazi mpaka iwe proved imprudent.
 
Am sorry to say ...but Mbona ndizo taarifa za yule mtabiri...!?
Anyway' ... ukweli ni kuwa any delay of this kind utaipa nguvu CHADEMA kuliko CCM!
 
Hizo ni tetesi, hisia zako, au?

DR. SLAA FOR LIFE!!

Mkuu sio hisia zangu, nakwambia nimedokezwa na Kada Mmoja wa chama, na hilo (la kuanguka) ni mojawapo la mbinu nyingi walizopanga za kuahirisha uchaguzi, wanachosema wanataka uchaguzi ukihahirishwe ili wapate muda wa kurudisha kampeni zote kwenye chama na zisimamiwe na chama (CCM), kwa maana sasa inaonekana chama hakina nguvu (akijashiriki vizuri) kwenye kampeni hizi (ilikuwa ni JK pekeyake bila chama), nguvu itakayotumika ni kuhahirisha uchaguzi mpaka january na kisha muda wa kampeni utaongezwa ili CCM na JK wapate nguvu mpya
 
Inamaana na muda wa vyou kufunguliwa utasogezwa mbele zaidi......???
 
Wakisogeza tu CHADEMA wanapata fursa nzuri zaidi ya kushawishi watu,

Naomba ajiangushe tu, atakaponyanyuka ndipo atamkuta Dr Slaa Rais
 
Mimi nafikiri kuwa mgombea akifa ndio uchaguzi unaahirishwa hili la mgombea kulazwa
si tutampigia kura hata akiwa huko kuna ubaya hapo ?
Mbona hakuna haki kwa sisi wapiga kura uchaguzi uwahirishwe kama tunaumwa.
Hebu fafanua zaidi hapo na ipo kwenye sheria za nec?
 
Mi nafikiri hayo ni mawazo yao na sababu za kutafuta visingizio hapa. Hivi alipoanguka yule mgombea ****** na kuvunja mkono haiwezi kuwa njama au???? Kama kuumwa kutafanya kura zisipigwe basi hata wapinzani wanaweza kuitumia, tena ili wapate muda zaidi wa kujipigia kampeni maana wanatapatapa...
NO ONE KNOWS THE FOREFATE OF ANYONE UNDER THE SUN...


Nawakilisha Oktoba 31
 
mkuu sio hisia zangu, nakwambia nimedokezwa na kada mmoja wa chama, na hilo (la kuanguka) ni mojawapo la mbinu nyingi walizopanga za kuahirisha uchaguzi, wanachosema wanataka uchaguzi ukihahirishwe ili wapate muda wa kurudisha kampeni zote kwenye chama na zisimamiwe na chama (ccm), kwa maana sasa inaonekana chama hakina nguvu (akijashiriki vizuri) kwenye kampeni hizi (ilikuwa ni jk pekeyake bila chama), nguvu itakayotumika ni kuhahirisha uchaguzi mpaka january na kisha muda wa kampeni utaongezwa ili ccm na jk wapate nguvu mpya

mkuu hapo czani kama itawezekana maana chama kiliishapigwa chini sawasawa na mtandao uliyomueka madarakani. Sasa ivi kazi za chama zinafanywa kifamilia zaidi. Cjui makamba yy anesemaje katika hili
 
Back
Top Bottom