Kitabu Kipya: 'Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru' Chatoka

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Kitabu Kipya: 'Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru' Chatoka

Taarifa imeletwa kwangu na mdau mmoja kuwa kitabu kijulikanacho kwa jina la 'Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru, Zanzibar Na Mapinduzi Ya Afrabia' kimetoka na kinaweza kupatikana kwenye anuani hii Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! Mwandishi wa kitabu icho ni dkt. Harith Ghassany kinaweza kusomwa moja kwa moja kupitia mtandaoni.

Kusoma kitabu hichi, tafadhali tembelea weblog yake ya Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! Jitihada zinafanywa ili msomaji aweze kukichota chote moja kwa moja kupitia mfumo wa pdf, lakini kwa sasa weblog hii inawezesha mtu kukisoma ukurasa kwa ukurasa.

Kwa wale watakaopenda kupata nakala halisi ya kitabu, wanaombwa wawasiliane na mwandishi au kupitia mtandao wa www.lulu.com

Nyote mnakaribishwa.

 
Heshima kwako X-paster,

Nimeanza kusoma mpaka mlango wa tatu ikanibidiniishia hapo kwasababu kitabu chenyewe kinatukuza uarabu na uislamu na kudharau kazi/mipango iliyoasisiwa na wakristo.Kwa mfano majina ya waarabu/muislam mwandishi anaanza kwa kweka maneno mtukufu xyz lakini hafanyi hivyo kwa watu wa dini nyingine au wabantu.

Kwa ufupi ni kitabu kinachofaa kusomwa kwenye madrassa.
 
pakua na ujisomee mwenyewe kitabu cha Harith Ghassany kiitwacho "kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru"
 

Attachments

  • Kwaheri Ukoloni,kwaheri uhuru.pdf
    765.1 KB · Views: 1,071
Heshima kwako X-paster,

Nimeanza kusoma mpaka mlango wa tatu ikanibidiniishia hapo kwasababu kitabu chenyewe kinatukuza uarabu na uislamu na kudharau kazi/mipango iliyoasisiwa na wakristo.Kwa mfano majina ya waarabu/muislam mwandishi anaanza kwa kweka maneno mtukufu xyz lakini hafanyi hivyo kwa watu wa dini nyingine au wabantu.

Kwa ufupi ni kitabu kinachofaa kusomwa kwenye madrassa.

Ni lini nyerere aliwahi kuwa padri?
 
Back
Top Bottom