Nina hard copy, nipeni time nitakiscani na kukipost hapa.......Jamani mwenye kujua duka au agent wa kitabu cha mafisadi wa elimu kilichotoka hivi karibuni anijulishe,kitabu huki kinatafutwa sana katika mikoa ya kanda ya ziwa ebu mwenye kujua anijulishe nitakipataje?
Hiki hapa kwa vipandeNina hard copy, nipeni time nitakiscani na kukipost hapa.......