harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Huyu jamaa angetakiwa aitwe nabii kwa alichotabiri kwenye
kitabu hiki takribani miaaka mingi iliyopita alizungumzia Mjumbe
mmoja kutoka kaskazini kwenye serikali ya kusadikika ambaye
alikua anaitwa majivuno ,huyu majivuno aliamini kwamba kidole chake
cha mwisho kidogo kina akili kuliko wana kusadikika wote pia alikua na
nyele Nyeupe ziking'aa kama shaba,naam huyu jamaa alikua na
ghiliba na uchu wa madaraka na mali na hata mwanasheria karama
alipomhukumu jamaa aliongea kana kwamba naye anajua chochote
kwenye tasnia ya sheria .
Je tz huyu majivuno hajatokea?
karama nae hayupo ?
nawasilisha
kitabu hiki takribani miaaka mingi iliyopita alizungumzia Mjumbe
mmoja kutoka kaskazini kwenye serikali ya kusadikika ambaye
alikua anaitwa majivuno ,huyu majivuno aliamini kwamba kidole chake
cha mwisho kidogo kina akili kuliko wana kusadikika wote pia alikua na
nyele Nyeupe ziking'aa kama shaba,naam huyu jamaa alikua na
ghiliba na uchu wa madaraka na mali na hata mwanasheria karama
alipomhukumu jamaa aliongea kana kwamba naye anajua chochote
kwenye tasnia ya sheria .
Je tz huyu majivuno hajatokea?
karama nae hayupo ?
nawasilisha