Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,851
- 30,195
Ngongo,Sheikh Mohamed Said kwakuwa una contacts za watu wa Raia Mwema unaweza kusaidia kupeleka hoja zetu mbele.
Nimewaandikia nasuburi majibu In Shaallah.
Ngongo,Sheikh Mohamed Said kwakuwa una contacts za watu wa Raia Mwema unaweza kusaidia kupeleka hoja zetu mbele.
Ngongo,Kweli kabisa mkuu wangu,naweza kusema pasipo shaka Kitabu kitafanya vizuri.Baada ya kuangaika bila majibu nimefanya mawasiliano na mkuu wa habari za kichunguzi amekiri simu za maulizo ya kitabu ni nyingi sana na kitabu kipo katika hatua za mwisho kutoka labda mwezi September.NB Nimefanya mawasiliano kupitia namba za simu zilizopo katika safu ya wakurugenzi ukurasa wa nane Gazeti la Raia Mwema.
Anayehitaji softcopy ya kitabu hiki kilichoadimika mtaani.
Kitabu hiki kimeandikwa na HAYATI ABDU JUMBE, kinazungumzia Muungano wa Tanganyika Na Zanzibar na kilichojificha nyuma pazia.
Cha Kiingereza:10,000/=
Cha Kiswahili :15,000/=
Unatumiwa kwa email.
Pm,
Kwa mawasiliano.
Kitabu cha ukachero wa kachero wa Tanzania – 3 – Raia Mwema....imefika sehemu ya ngapi hiyo stori wandugu?,mmenishawishi!
Kama ni hivi Rai Mwema watangaze Dau wanataka bei gani...waliyotaka kukusanya kutokana na kuchapisha kitabu hiki...tuchangishane tuwalipe; ili kutuondolea kero hii.
I suspect kitakuwa best seller book kwa awamu hii ya Tano.Nimefahamishwa rasmi kitabu kitatoka mwezi September.
Mwenye full PDF aiweke hapa.Kama ni hivi Rai Mwema watangaze Dau wanataka bei gani...waliyotaka kukusanya kutokana na kuchapisha kitabu hiki...tuchangishane tuwalipe; ili kutuondolea kero hii.
Hapa nadhani itabidi tusubiri kipindi kitakapotoka tukichangamkie...!Mwenye full PDF aiweke hapa.
Vipi hawajasema bei itakuwaje na wapi kitabatikana?Hapa nadhani itabidi tusubiri kipindi kitakapotoka tukichangamkie...!
Yaani nimeingia ile link yenye sehemu ya tatu kutoka gazeti la Raia Mwema...yaani nimesimamishwa na lile neno la itaendelea ...!