Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha kama sita hivi ndio umezaa Kiswahili. Ingawaje aghalabu ya maneno ni Kiarabu lakini tusiseme kiswahili ni Kiarabu si sahihi.
Kwani humo kimo Kiiingereza,Kireno,Kihindi,Kifarisi,Kiarabu na Kibantu chenyewe.
WanaJF ninaomba 2saidiane mana 2libisha sana kiasi kwamba 2meshndwa kuelewa nan yupo sawa
WanaJF ninaomba 2saidiane mana 2libisha sana kiasi kwamba 2meshndwa kuelewa nan yupo sawa
thanks sana bwana ZOMBA mana nimekuelewa na nimeelewa na utata sasa unaisha mana mbish na mpinzan wangu kakubal yan nilikuwa cjui mengne ila nimeelewa kwel wanaJF mmenielimisha yan kiswahl ni CHOTARA
kaka Zomba umeongea vizuri sana hapo mwanzo wa maelezo yako na nilikuwa nakufata vizuri tu, lakini huku mwisho umemliza kwa kuboa, Hivi kwa nini kila kitu mpaka uingize mambo ya uislamu,
Hivi wewe ni mdini kiasi hicho ama? tatizo ni nini hasa?