yahayabaidu
Member
- Nov 1, 2014
- 17
- 5
Najivunia sana kusoma somo la Kiswahili katika ngazi ya elimu ya juu, tunakidharau Kiswahili lakini kiukweli hatukijui. Kama wewe unakijua vizuri Kiswahili naomba unijibu swali hili dogo, mobile phone inaitwaje kwa Kiswahili halisi?